tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Pale CCM inapoishauri Chadema ili iimarike. Wakili msomi unaniangusha sana. Ungekaa kimya tu maana wengi washakuelewa.Mkuu Mganguzi....
Unaishauri Chadema humu, jee una ngozi ngumu?.
Angalia wenzio tulioshauri na tulijibiwa nini?.
Anza hapa CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015 na Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili! - Kuepusha Shari, Kubalini Kosa! na CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao na Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
p