jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Watanzania waliwahi kuhojiwa rasmi juu ya mfumo wa vyama vingi au kimoja.
Majibu yao yalikuwa wazi na ya moja kwa moja kwamba wangependa kubaki na mfumo wa chama kimoja.
Mwalimu Nyerere aliona ni vyema kukataa maoni hayo kutokana na mashinikizo ya mabepari.
Lakini uhalisia wa mambo unaendelea kujidhihirisha kwamba Mfumo wa chama kimoja ndio mfumo waliouamini ili kuondokana na vibaraka.
CCM iliyo bora inao uwezo wa kusimamia Taifa na kulipeleka mbele.
Majibu yao yalikuwa wazi na ya moja kwa moja kwamba wangependa kubaki na mfumo wa chama kimoja.
Mwalimu Nyerere aliona ni vyema kukataa maoni hayo kutokana na mashinikizo ya mabepari.
Lakini uhalisia wa mambo unaendelea kujidhihirisha kwamba Mfumo wa chama kimoja ndio mfumo waliouamini ili kuondokana na vibaraka.
CCM iliyo bora inao uwezo wa kusimamia Taifa na kulipeleka mbele.