Yanayoendelea Dodoma bunge la katiba

Simiyu Yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
18,949
Reaction score
4,639
Ni siku ya jumatatu siku ambayo tulitarajia kuanza rasmi kujadili kanuni za bunge maalumu lakini zoezi hilo halitafanyika badala yake tunaendelea kujisomea kanuni kwa siku ya leo hata kesho.

yawezekana kuanzia jumatano ndiyo siku ambayo tunaweza kuanza kujadili kanuni husika ili kuweza kuzipitisha tayari kwa kuanza kutuongoza kwenye hili bunge maalumu la kuandaa katiba ya watanzania.
 

Ina maana hizo kanuni za bunge maalumu ni nyingi kiasi gani mpaka zichukue muda mrefu kiasi hicho?
 
kusoma tu kanuni wiki moja kutunga nyingine itakuwa mwezi mzima hapa lengo ni kuongeza zile siku 20 walizo ambiwa wanaweza kuziongeza ,bora wasingeambiwa kuwa wanaweza kuongeza siku.
 
wewe ulitarajia Kama nani? Kama -------- na Mjinga Kama wewe upo kwenye bunge la katiba basi hapo hamna bunge
 
Ina maana hizo kanuni za bunge maalumu ni nyingi kiasi gani mpaka zichukue muda mrefu kiasi hicho?
Mkuu mambo mengine magumu kweli hasa suala linapokuwa la wengi lakini imani yetu ni kwamba tutapata katiba yetu.
 
kusoma tu kanuni wiki moja kutunga nyingine itakuwa mwezi mzima hapa lengo ni kuongeza zile siku 20 walizo ambiwa wanaweza kuziongeza ,bora wasingeambiwa kuwa wanaweza kuongeza siku.

...Hakika nawaambia, ule mwisho hautafika hadi kila nukta ya kilichoandikwa kitimie.
 
Tunaomba msijiongezee posho, tunatarajia katiba mpya sio posho mpya
cc.
simiyu yetu.
 
kama kanuni tuu it takes two weeks, katiba yenye ibara kibao si itachukua nusu mwaka!
 
Hawatengenezi katiba. Hilo naliita kusanyiko linalopika viashilia vya machafuko ktk jamii. They better evacuate from there if their intension was to grab the whole sum amount budgeted as "a just in case"
We expect nothing meaningful aftr the said 90 days.
 
Ndugu wana JF,
ninaomba kama kuna mwenye taarifa ya kinachojiri kwenye bunge la katiba atujuze kwani tuko mbali na radio pamoja na tv,
Asanteni kwa msaada wenu
 
Hakuna bunge MPLA tarehe 28 siku ya ijumaa kamati ya mahalu haijamaliza kuandaa kanuni wameambiwa waende mnadani au chako ni chako wakale nyama chômage na kuna dada posa kule na wasubiri kaki tano zao za leo wameshangilia hao balaaa we acha tu ni maigizo
 
dhihaka, dharau na uhuni wa maccm ni mzigo kwa nnji hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…