Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,639
Ni siku ya jumatatu siku ambayo tulitarajia kuanza rasmi kujadili kanuni za bunge maalumu lakini zoezi hilo halitafanyika badala yake tunaendelea kujisomea kanuni kwa siku ya leo hata kesho.
yawezekana kuanzia jumatano ndiyo siku ambayo tunaweza kuanza kujadili kanuni husika ili kuweza kuzipitisha tayari kwa kuanza kutuongoza kwenye hili bunge maalumu la kuandaa katiba ya watanzania.
yawezekana kuanzia jumatano ndiyo siku ambayo tunaweza kuanza kujadili kanuni husika ili kuweza kuzipitisha tayari kwa kuanza kutuongoza kwenye hili bunge maalumu la kuandaa katiba ya watanzania.