Zungu Pule
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 2,218
- 1,218
Hawatengenezi katiba. Hilo naliita kusanyiko linalopika viashilia vya machafuko ktk jamii. They better evacuate from there if their intension was to grab the whole sum amount budgeted as "a just in case"
We expect nothing meaningful aftr the said 90 days.
Mnajadili nini na wakati ccm imeshatoa maamuzi yake?hapo hakuna katiba mpya tena mmeamua kumpuuza kikwete na ndoto yake ya katiba mpyaNi siku ya jumatatu siku ambayo tulitarajia kuanza rasmi kujadili kanuni za bunge maalumu lakini zoezi hilo halitafanyika badala yake tunaendelea kujisomea kanuni kwa siku ya leo hata kesho.
yawezekana kuanzia jumatano ndiyo siku ambayo tunaweza kuanza kujadili kanuni husika ili kuweza kuzipitisha tayari kwa kuanza kutuongoza kwenye hili bunge maalumu la kuandaa katiba ya watanzania.
Ndugu wana JF,
ninaomba kama kuna mwenye taarifa ya kinachojiri kwenye bunge la katiba atujuze kwani tuko mbali na radio pamoja na tv,
Asanteni kwa msaada wenu