Zungu Pule
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 2,218
- 1,218
Sasa Simiyu Yetu umefikaje kwenye vikao vya Bunge la Katiba? Kweli kazi tunayo? Kuna sababu zozote zimetolewa juu ya ucheleweshwaji wa rasimu ya kanuni ambazo mlipaswa kuanza kuzijadili leo? Or it doesn't matter as long as members are paid their allowances in full?
Na kwa jinsi nchi yetu ilivyo na bahati mbaya, unaweza kukuta Simiyu Yetu ni Waziri. Ee mola epushia mbali.
Na kwa jinsi nchi yetu ilivyo na bahati mbaya, unaweza kukuta Simiyu Yetu ni Waziri. Ee mola epushia mbali.