Yanayoendelea Enduleni Ngorongoro si haki. Sauti zipazwe

Yanayoendelea Enduleni Ngorongoro si haki. Sauti zipazwe

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ngorongoro si gereza.

Kamata kamata inayoendelea huko haina tija kwa Taifa hili:



Zaidi sana inaiweka serikali hii matatani.

F5qndt_WgAAwqmu.jpeg


"Haya ni ya kukemea bila kujali itikadi."

Haki za kila mtu kikatiba ziheshimiwe.

F5qZCaiXEAEMnK2.jpeg


Serikali ina nini cha kuficha Ngorongoro?
 
Polisi Tanzania baada ya kuahidiwa "rushwa" ya billions of money wameanza KAZI ya kuharibu amani Ili kumlinda Mwenyekiti wa CCM

Unayo hoja nzito
 
Hivi Tanganyika bado ipo au Nyerere aliiuza mazima ?🤡😁
 
Back
Top Bottom