Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari kama hizi huwezi kuona zikitangazwa nimevizarau sana vyombo vya habariNgorongoro si gereza.
Kamata kamata inayoendelea huko haina tija kwa Taifa hili:
View attachment 2745109
Zaidi sana inaiweka serikali hii matatani.
View attachment 2745111
"Haya ni ya kukemea bila kujali itikadi."
Haki za kila mtu kikatiba ziheshimiwe.
View attachment 2745117
Serikali ina nini cha kuficha Ngorongoro?
Mambo ya ajabu sana, kiongozi unasamini wawekezaji kuliko raia unaowaongoza? Na cha kushangaza huo uwekezaji haujawahi kuwa na tija yeyote kwa nchi. Mambo ya kijinga sana.Ngorongoro si gereza.
Kamata kamata inayoendelea huko haina tija kwa Taifa hili:
View attachment 2745109
Zaidi sana inaiweka serikali hii matatani.
View attachment 2745111
"Haya ni ya kukemea bila kujali itikadi."
Haki za kila mtu kikatiba ziheshimiwe.
View attachment 2745117
Serikali ina nini cha kuficha Ngorongoro?
Habari kama hizi huwezi kuona zikitangazwa nimevizarau sana vyombo vya habari
Utakuwa unawasingizia! Unafikiri kama Wakoloni wangekawia kuipa Tanganyika uhuru, tuseme wangeuchelewesha hadi 2005, hali ya Tanganyika ingekuwaje kwa sasa? Hayo maswaibu yangekuwepo?Kenya walikuwa na matatizo kama haya na walipata solution.
Lakini hawa wetu wanatutawala kama Wakoloni.
Mambo ya ajabu sana, kiongozi unasamini wawekezaji kuliko raia unaowaongoza? Na cha kushangaza huo uwekezaji haujawahi kuwa na tija yeyote kwa nchi. Mambo ya kijinga sana.
Sanaa tu hizoNgorongoro si gereza.
Kamata kamata inayoendelea huko haina tija kwa Taifa hili:
View attachment 2745109
Zaidi sana inaiweka serikali hii matatani.
View attachment 2745111
"Haya ni ya kukemea bila kujali itikadi."
Haki za kila mtu kikatiba ziheshimiwe.
View attachment 2745117
Serikali ina nini cha kuficha Ngorongoro?
Vilio hivi vya wananchi havitapita bure labda kama Mungu wa Israeli ni Muongo.Ngorongoro si gereza.
Kamata kamata inayoendelea huko haina tija kwa Taifa hili:
View attachment 2745109
Zaidi sana inaiweka serikali hii matatani.
View attachment 2745111
"Haya ni ya kukemea bila kujali itikadi."
Haki za kila mtu kikatiba ziheshimiwe.
View attachment 2745117
Serikali ina nini cha kuficha Ngorongoro?