Yanayoendelea Enduleni Ngorongoro si haki. Sauti zipazwe

Yanayoendelea Enduleni Ngorongoro si haki. Sauti zipazwe

Ngorongoro si gereza.

Kamata kamata inayoendelea huko haina tija kwa Taifa hili:

View attachment 2745109

Zaidi sana inaiweka serikali hii matatani.

View attachment 2745111

"Haya ni ya kukemea bila kujali itikadi."

Haki za kila mtu kikatiba ziheshimiwe.

View attachment 2745117

Serikali ina nini cha kuficha Ngorongoro?
Mambo ya ajabu sana, kiongozi unasamini wawekezaji kuliko raia unaowaongoza? Na cha kushangaza huo uwekezaji haujawahi kuwa na tija yeyote kwa nchi. Mambo ya kijinga sana.
 
Kenya walikuwa na matatizo kama haya na walipata solution.

Lakini hawa wetu wanatutawala kama Wakoloni.
Utakuwa unawasingizia! Unafikiri kama Wakoloni wangekawia kuipa Tanganyika uhuru, tuseme wangeuchelewesha hadi 2005, hali ya Tanganyika ingekuwaje kwa sasa? Hayo maswaibu yangekuwepo?
 
.
20230910_194638.jpg
 
Samia anatumia nguvu nyingi sana kuficha uvundo wa Ngorongoro.

Hivi nani anamshauri afanye haya mambo? au kajizungushia Machawa matupu?

Samia jua kuwa Wahenga walishasema kuwa "lakuvunda halina ubani"
 
Au hizi tetesi za Ngorongoro crater kuuzwa kwa Mwanamfalme wa Sharjah zina ukweli?

Mbona Mapolisi kama wote wamehamishiwa huko? Kwanini wanamzuia Lissu kufanya mkutano wa hadhara Karatu.

Au Wamang'ati Wairaqwi na Wamassai wako chini ya Martial law.?

Maswali ni mengi mengi kweli kweli hadi kichwa kinauma.
 
Back
Top Bottom