Yanayoendelea huko Mtwara: Je, Serikali ilifanyia kazi ushauri wa Marekani?

Yanayoendelea huko Mtwara: Je, Serikali ilifanyia kazi ushauri wa Marekani?

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Ingawa hatupewi taarifa za kueleweka lakini yanayoendelea Mtwara kwa uchache yanafahamika. Kuna uwezekano mkubwa kabisa Tayari kile kikundi cha ugaidi kilichokuwa kinasumbua kule Msumbiji Ni rasmi Kiko Tanzania.

Watu wa Mtwara wanaweza kuthibitisha hili. Miezi kadhaa iliyopita Serikali ya Marekani ilitahadharisha kikundi cha ugaidi kilichoko Msumbiji Kama kisipodhibitiwa, uasi unaweza kuhamia Tanzania pia.

Je, Serikali ilifanyia kazi ushauri huo ili kuweka maandalizi ya kukabiliana na aina yoyote ya ugaidi ambao ungetokana na kikundi hiki?
 
Hao wamarekani ndiyo suspects namba 1, Kwa nini vikundi vya ugaidi viibuke sehemu zenye rasilimali gesi, mafuta?.

Ule ukanda wa kusini, wa Tanzania na Msumbiji kuna gesi kwanini hicho kikundi kiibukie huko?

Hapo Mmarekani anaimezea mate gesi yetu, anataka kutuchosha na mapambano kisha atushauri tukubali alete vikosi vyake huko au aweke military base, au tuyauzie makampuni yake rights za uchimbaji huko ndo aviondoe vikundi hivyo vya kigaidi ambavyo kimsingi ni vyake kwa mlango wa nyuma!
 
Ndiyo, mikakati imeisha wekwa na mkakati hasa wa watu mashuhuri kuto kuwa sehemu hizo maana magaidi wakimpata mtu mashuhuri ni turufu kwao!

Lakini kuna watu wengine mashuhuri lakini ni kichwa maji - nafikiri mtakumbuka wakati wa kampeni kuna mtu mashuhuri alitaka kukataa ushauri huo akaona anakatazwa kwenda Mtwara kusudi asishinde uraisi!

Hakujua pia kwamba akikamatwa na hayo magaidi na uraisi hapati pia!
 
P


Na Jukumu la kupiga na kutesa wapinzani ni jukumu la nani??
 
Nyie kina Pascal mnaanzisha mijadala sensitive katikati ya kipindi cha tafakuri jadidi juu ya matokeo ya uchaguzi uliopita, hii siyo kuhamisha mjadala? Any way suala la usalama wa nchi ni kipeumbele.
 
hawa magaidi kwa uchaguzi huu ulivyovurugwa wanakaribishwa na wakipiga hodi wataambiwa karibuni.

Wananchi walivyoteswa kuuliwa kupigwa mabomu na mazila kibao,unafikir akipiga hodi gaidi watamfukuza? Hivi magaidi waende Pemba waingie Unguja na kupiga hodi huko unafikiri wananchi watawafukuza ? Serikali iliyoyafanya katika uchaguzi huu imewafagilia njia magaidi.
 
hawa magaidi kwa uchaguzi huu ulivyovurugwa wanakaribishwa na wakipiga hodi wataambiwa karibuni.
Wananchi walivyoteswa kuuliwa kupigwa mabomu na mazila kibao,unafikir akipiga hodi gaidi watamfukuza ? Hivi magaidi waende pemba waingie Unguja na kupiga hodi huko unafikiri wananchi watawafukuza ? Serikali iliyoyafanya katika uchaguzi huu imewafagilia njia magaidi .
Well said mkuu
 
Hao wamarekani ndiyo suspects namba 1, Kwa nini vikundi vya ugaidi viibuke sehemu zenye rasilimali gesi, mafuta?.

Ule ukanda wa kusini, wa Tanzania na Msumbiji kuna gesi kwanini hicho kikundi kiibukie huko?

Hapo Mmarekani anaimezea mate gesi yetu, anataka kutuchosha na mapambano kisha atushauri tukubali alete vikosi vyake huko au aweke military base, au tuyauzie makampuni yake rights za uchimbaji huko ndo aviondoe vikundi hivyo vya kigaidi ambavyo kimsingi ni vyake kwa mlango wa nyuma!
Ukweli mchungu, awamu hii Jiwe atatawala kwa shida sana.
Ataandamwa na ugaidi na vikwazo kibao.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Wananchi wakiichukia serikali huwa Ni hatari Sana. Wako radhi wafanye mambo ya hovyo ilmradi tu kuikomoa serikali.

Serikali wajitathimini sana
 
Haya yote ni madhara ya kuwagawa wananchi kiitikadi. Matokeo yake Ni kipandikiza chuki na visasi. Chuki na visasi vikizidi hupelekea ugaidi.

Hao magaidi ya Msumbiji kwa vyovyote vile wanaongozwa na watanzania wenye chuki. Mwizi hawezi kuiba bila kupata "lead" ya anapoenda kuiba.
 
hawa magaidi kwa uchaguzi huu ulivyovurugwa wanakaribishwa na wakipiga hodi wataambiwa karibuni.

Wananchi walivyoteswa kuuliwa kupigwa mabomu na mazila kibao,unafikir akipiga hodi gaidi watamfukuza? Hivi magaidi waende Pemba waingie Unguja na kupiga hodi huko unafikiri wananchi watawafukuza ? Serikali iliyoyafanya katika uchaguzi huu imewafagilia njia magaidi.
Wewe ni kiazi, unadhani hao magaidi wanajali cha huyu ni raia na huyu sio waulize watu wa Mtwara watakwambia.

Wale watu wanaua hawajali cha huyu ni kiongozi, mpinzani au sio mpinzani. Kwa hiyo kaa kwa kutulia.
 
Back
Top Bottom