Yanayoendelea huko Mtwara: Je, Serikali ilifanyia kazi ushauri wa Marekani?

Yanayoendelea huko Mtwara: Je, Serikali ilifanyia kazi ushauri wa Marekani?

P
Mkuu, Paschal Mayalla,

I concur with you on security alert in Mtwara, partly in Pwani region and partly in Tanga region whereby the coward terror groupings funded by the shadowed enemy of the nation sneakily take refuge with malicious intent to disrupt and destabilize tranquility prevailing in Tanzania. It is imperative the government of Tanzania promptly act tough in order that peace and unity are permanently restored for the economic activities continue flourishing for the best interests of wananchi and country at large. Kudos brother for your best input, constructive and eye opener to the responsible authority to interpret the advice into practice with effective mitigating measures in the earliest possible timings.
 
Hao wamarekani ndiyo suspects namba 1, Kwa nini vikundi vya ugaidi viibuke sehemu zenye rasilimali gesi, mafuta?.

Ule ukanda wa kusini, wa Tanzania na Msumbiji kuna gesi kwanini hicho kikundi kiibukie huko?

Hapo Mmarekani anaimezea mate gesi yetu, anataka kutuchosha na mapambano kisha atushauri tukubali alete vikosi vyake huko au aweke military base, au tuyauzie makampuni yake rights za uchimbaji huko ndo aviondoe vikundi hivyo vya kigaidi ambavyo kimsingi ni vyake kwa mlango wa nyuma!
Ushauri wako nini katika hili ?
 
Hao wamarekani ndiyo suspects namba 1, Kwa nini vikundi vya ugaidi viibuke sehemu zenye rasilimali gesi, mafuta?.

Ule ukanda wa kusini, wa Tanzania na Msumbiji kuna gesi kwanini hicho kikundi kiibukie huko?

Hapo Mmarekani anaimezea mate gesi yetu, anataka kutuchosha na mapambano kisha atushauri tukubali alete vikosi vyake huko au aweke military base, au tuyauzie makampuni yake rights za uchimbaji huko ndo aviondoe vikundi hivyo vya kigaidi ambavyo kimsingi ni vyake kwa mlango wa nyuma!
Tatizo la lumumba fc, huwa mnakurupuka tu, kama mtu anayejisaidia kichakani, pale asikiapo, sauti ya kitu!! Kwani kule mtwara kwenye gesi bado Tz, ina chake? Fuatilia kauli ya meko, kwanini aliakimbilia huko rufiji kwenye maporomoko ya maji!! Rasilimali muziuze kwa bei ya kutupa mje mtafute sababu, eti USA, anazitaka?!!! Yule akihitaji chochote kile hapa TZ, hana haja ya kuzunguzuka sana, utatoa mwenyewe tu. Kama hujui chanzo cha mgogoro huo wa Mozambique kaa kimya tu, hayo ni matokeo ya siasa mbovu za afrika, eg, Niger delta,
 
P
We jamaa cku izi nakudharau kinyama yan umepoteza mvuto wa kujenga hoja baada tu ya kuhamia ccm
 
Nina binti kutoka huko mama na ndugu zake wamehama kutoka kijiji kinachopakana na Msumbiji, hali ni mbaya, inasemekana Al-shaab huwa wanaingia huko na kuteka wanaume na kwenda nao Msumbiji. Huwa wanavania vijiji vya mpakani, wanapora na kuua.

Anasema vijana kadhaa huko Mtwara 'walipotea' na hadi sasa 'hupotea', inasemekana wanapotelea huko Msumbiji ambapo hujiunga na makundiya IS yaliyopo huko Cabo Delgado. Ni vema serikali ikafutilia hao vijana wanashawishiwa na kina nani hadi kuwa tayari 'kutoweka' na kuibukia Msumbiji.

Vv
 
Nina binti kutoka huko mama na ndugu zake wamehama kutoka kijiji kinachopakana na Msumbiji, hali ni mbaya, inasemekana Al-shaab huwa wanaingia huko na kuteka wanaume na kwenda nao Msumbiji. Huwa wanavania vijiji vya mpakani, wanapora na kuua.

Anasema vijana kadhaa huko Mtwara 'walipotea' na hadi sasa 'hupotea', inasemekana wanapotelea huko Msumbiji ambapo hujiunga na makundiya IS yaliyopo huko Cabo Delgado. Ni vema serikali ikafutilia hao vijana wanashawishiwa na kina nani hadi kuwa tayari 'kutoweka' na kuibukia Msumbiji.

Vv

Vv
 
Jamaa yangu wazee wake wamekua homeless mapimbi yamechoma nyumba yao na kijiji kizima bahat nzuri bimkubwa hakuwepo ndani madogo walichimba
 
Jamaa yangu wazee wake wamekua homeless mapimbi yamechoma nyumba yao na kijiji kizima bahat nzuri bimkubwa hakuwepo ndani madogo walichimba
Kumbe Hali Ni mbaya kuliko tujuavyo
 
Kumbe Hali Ni mbaya kuliko tujuavyo
Ni mbaya sana mkuu ila naamin jwtz hawafanyagi press conference za kaz zao naamin wako mzigoni tuendelee kumuomba Mungu tu
 
Hicho kikundi watoe namba zao za M-PESA tuwe tunachanga kikundi kikomae kianze kuwashughulikia wakurugenzi na wapuuzi wote waliofanikisha ushindi wa LUSHINDO
 
Wewe ni kiazi, unadhani hao magaidi wanajali cha huyu ni raia na huyu sio waulize watu wa Mtwara watakwambia.

Wale watu wanaua hawajali cha huyu ni kiongozi, mpinzani au sio mpinzani. Kwa hiyo kaa kwa kutulia.

achana na mlafi wa madaraka huyu kakosa,hafikirii tena.

hajui ugaidi na gaidi ni kuimbe wa namba gani,anachowaza ni uchaguzi tu.
 
Back
Top Bottom