Mcheza Piano
JF-Expert Member
- Mar 2, 2024
- 562
- 1,339
Lissu ni Jambazi, Samia ni Jambazi, Mbowe ni jambazi, Jeikei ni Jambazi. Nchi inafuga majizi na kuyapa dhamana.Magufuli alikuwa mtu wa hovyo lakini alijitahidi kulinda rasilimali. Tusipokuwa makini huyu mtu atatuuza. Huu ulikuwa muda wa kumuunga mkono Lissu
Naona umemkwepa Magufuli aliyeficha bilioni 30 chumbani kwakeLissu ni Jambazi, Samia ni Jambazi, Mbowe ni jambazi, Jeikei ni Jambazi. Nchi inafuga majizi na kuyapa dhamana.
Mzalendo Magufuli atakumbukwa.
Kama magu alikuwa wa hovyo,mtulie hivyo hivyo,huyu ndio mbadala wake.Magufuli alikuwa mtu wa hovyo lakini alijitahidi kulinda rasilimali. Tusipokuwa makini huyu mtu atatuuza. Huu ulikuwa muda wa kumuunga mkono Lissu
Rasilimali Ndiyo uhai wa nchi yoyote duniani. Mama alipofikia inatosha apewe mkono wa kwaheri. Lisu hatoshi kuwa Rais ya nchi hii. Watanzania kwa wingi wetu na mmoja wetu hatuwezi kukosa mtu makini na mwadilifu wa kutuvusha. Wapo majaji wastaafu na ambao bado wako kazini waadilifu wa kutukuka tunawajua kwa majina. Na wala rushwa tunawajua sana.Magufuli alikuwa mtu wa hovyo lakini alijitahidi kulinda rasilimali. Tusipokuwa makini huyu mtu atatuuza. Huu ulikuwa muda wa kumuunga mkono Lissu
Huo ni uzushi wa kikwete na genge lakeNaona umemkwepa Magufuli aliyeficha bilioni 30 chumbani kwake
Hata Nyerere Foundation kama wamepigwa ganzi.Huo ndio ukweli mchungu sana Ndugu yangu, inatisha mnoooo. Huwa najiuliza Yaani CCM nzima hakuna MTU mwenye uchungu hata kidogo??
Amesema zinafanywaje? Kwamba huyo jaji anajua kuliko watu wooite huko Serikalini,kuliko vyombo vya Dola nk?Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.
Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.
Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.
Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.
Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
Cost variables on fleek, Kwa utetezi muruaAmesema zinafanywaje? Kwamba huyo jaji anajua kuliko watu wooite huko Serikalini,kuliko vyombo vya Dola nk?
Mwambie aache upumbavu wake wa kijamaa usio na faida
Halafu nchi tumpe bb yako yl gayHayo ni maoni ya jaji mstaafu.
Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.
Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.
Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.
Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
Jibu hoja,hizo Rasilimali zinafanywaje yaaniCost variables on fleek, Kwa utetezi murua
Piere mwenyeweHalafu nchi tumpe bb yako yl gay
Shida ni fisiemu hawawezi kuruhusu mambo mazuri kama hayoRasilimali Ndiyo uhai wa nchi yoyote duniani. Mama alipofikia inatosha apewe mkono wa kwaheri. Lisu hatoshi kuwa Rais ya nchi hii. Watanzania kwa wingi wetu na mmoja wetu hatuwezi kukosa mtu makini na mwadilifu wa kutuvusha. Wapo majaji wastaafu na ambao bado wako kazini waadilifu wa kutukuka tunawajua kwa majina. Na wala rushwa tunawajua sana.
Haya maneno ya kijiweni.. yanawapunguzia credit sana kwa wasomaji..Naona umemkwepa Magufuli aliyeficha bilioni 30 chumbani kwake
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.
Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.
Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.
Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.
Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
Sahihi kabisa.... ongezea na Betting...Too bad unaongea na kizazi ambacho hakitaki kufungua macho, wako busy na simba na yanga, bongo fleva na mambo ya kimbea
Kabisa. TISS wanatakiwa wafanye ujasusi, hata kama wanataka CCM iendelee, wapitishe mtu mwingine mzalendo.Nchi itapigwa mnada . 2025 tunahitaji rais mpya ili kuinusuru nchi .
unadhani n kwa nn wanafanya hayo maovuHuo ndio ukweli mchungu sana Ndugu yangu, inatisha mnoooo. Huwa najiuliza Yaani CCM nzima hakuna MTU mwenye uchungu hata kidogo??
Hizo habari za vijiweni ndio mnazibebaga kumbaf sana. Tz ina safari ndefu mno vijana wenyewe ndio hawaNaona umemkwepa Magufuli aliyeficha bilioni 30 chumbani kwake