OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ndio , ni uzinduzi wa duka la Vunjabei mkoani huko, achana na propaganda za kishamba. Simba ni kubwa, hahitaji propaganda uchwara kama hizi ili kuuza jezi, haya ni madhara ya kuwaachia kina Mwijaku kuwa sehemu ya uhamisishaji Simba.Kuna msukule utakuja kukukwambia huo ni uzinduzi wa dukula la vunja bei
Unamdanganya Nani?unajidanganya mwenyewe,utataka TRA wakafuatilie kodi yao.Ujanja wote unataka kushindana na Yanga na GSM ,usiige kunya kwa Tembo utapasuka Msamba.Kuanzia Mwaka huu mtapata sana shida mjiandae kisaikolojia Yanga na GSM wamejipanga kweli kweliView attachment 1923248
Twendeni taratibu wana Simba muda bado upo. Fred ashauriwe kufungua matawi mengi Dar ili kuepusha msongamano.
Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba SC,[emoji881] Babra Gonzalez [emoji73] amesema kuwa baada ya kuingiza jezi mpya za Simba [emoji881] sokoni ndani ya masaa 8 jumla ya jezi 42,000 zilikuwa zimeshauzwa na mawakala mbalimbali Nchini Tanzania Kwa bei ya 35,000/= ni sawa na sh 1,470,000,000
One Team One Dream #NguvuMoja
Ushawahi kuona Fred anazindukua duka zake mchana? Tumia akili acha kutumia matako,, uwe unafatilia mamboNdio , ni uzinduzi wa duka la Vunjabei mkoani huko, achana na propaganda za kishamba. Simba ni kubwa, hahitaji propaganda uchwara kama hizi ili kuuza jezi, haya ni madhara ya kuwaachia kina Mwijaku kuwa sehemu ya uhamisishaji Simba.
Hiyo yanga hakuna msimu ambao haijipanga tushawazoeaUnamdanganya Nani?unajidanganya mwenyewe,utataka TRA wakafuatilie kodi yao.Ujanja wote unataka kushindana na Yanga na GSM ,usiige kunya kwa Tembo utapasuka Msamba.Kuanzia Mwaka huu mtapata sana shida mjiandae kisaikolojia Yanga na GSM wamejipanga kweli kweli
ulikuwepo wapi kuomba tenda ya kutengeneza jersey za simba ?Mo Dewji anapiga faida sana. Naimani hili dili la VunjaBei kuna mkono wake, watavuna pesa sana na Fred Vunjabei utajiri wake utaongezeka kwa kasi
Mwamedi kashaanza kuwalipa Waandishi habari wampigie promo kama kawaida yake
Nilikua Burundi mkuuulikuwepo wapi kuomba tenda ya kutengeneza jersey za simba ?
Kongo na Agrey hiyoView attachment 1923248
Twendeni taratibu wana Simba muda bado upo. Fred ashauriwe kufungua matawi mengi Dar ili kuepusha msongamano.
Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba SC,[emoji881] Babra Gonzalez [emoji73] amesema kuwa baada ya kuingiza jezi mpya za Simba [emoji881] sokoni ndani ya masaa 8 jumla ya jezi 42,000 zilikuwa zimeshauzwa na mawakala mbalimbali Nchini Tanzania Kwa bei ya 35,000/= ni sawa na sh 1,470,000,000
One Team One Dream #NguvuMoja
Ndio , ni uzinduzi wa duka la Vunjabei mkoani huko, achana na propaganda za kishamba. Simba ni kubwa, hahitaji propaganda uchwara kama hizi ili kuuza jezi, haya ni madhara ya kuwaachia kina Mwijaku kuwa sehemu ya uhamisishaji Simba.
Unaona kabsa Usport hapo bado una post utumboKongo na Agrey hiyoView attachment 1923321
Unaona kabsa Usport hapo bado una post utumbo