cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,570
- 5,508
Mtoto wa kiume unahusda kama mke mwenza....kwani vunjabei haiwezi fanikiwa bila kuishudha GSMUnamdanganya Nani?unajidanganya mwenyewe,utataka TRA wakafuatilie kodi yao.Ujanja wote unataka kushindana na Yanga na GSM ,usiige kunya kwa Tembo utapasuka Msamba.Kuanzia Mwaka huu mtapata sana shida mjiandae kisaikolojia Yanga na GSM wamejipanga kweli kweli