daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Kupiga kura nchi hii ni kupoteza mudaKupiga kura na kulinda kura huwa wanaenda kwa wingi kiasi hicho?Acha waf!rwe kupitia tozo na kadhalika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupiga kura nchi hii ni kupoteza mudaKupiga kura na kulinda kura huwa wanaenda kwa wingi kiasi hicho?Acha waf!rwe kupitia tozo na kadhalika.
Mbona Zambia nako kupiga kura ilikuwa ni kupoteza muda zaidi ya Tanzania mara mia ila wamefanikiwa kupata haki yao?Kupiga kura nchi hii ni kupoteza muda
Acha wapige pesaMo Dewji anapiga faida sana. Naimani hili dili la VunjaBei kuna mkono wake, watavuna pesa sana na Fred Vunjabei utajiri wake utaongezeka kwa kasi
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Tanzania na ZambiaMbona Zambia nako kupiga kura ilikuwa ni kupoteza muda zaidi ya Tanzania mara mia ila wamefanikiwa kupata haki yao?
Kwani Zambia kulikuwa na tume huru ya uchaguzi?Kuna tofauti kubwa sana kati ya Tanzania na Zambia
Mimi nimepiga kura mwaka jana nimejionea. Bila tume huru ya uchaguzi kupiga bado ni kupoteza muda
Mnajipa moyo na mishumizi yenu mibaya,vunja bei kitu gani kibaya alichokifanya kwa Yanga!hamna Mwananchi atakaenunua shumizi za mikia na hamna mkia atakaenunua jezi za Wananchi,kila mtu atanunua jezi kutokana na mapenzi ya timu yake,sasa vunja bei kafanyaje hadi useme katufanyia kitu mbaya,tunachoongelea uzuri na quality ya jezi za mikia ni mbovu na ndio propaganda kibao kwenye mauzo zinawekwa hadi video za kitambo kuhaminisha watu ni jana!kwanza shumizi zenyewe za kucopy kwa arsenal na timu ya taifa ya tunisiaYani wamepagawa hatari,Mkinga yule kawafanyia kitu mbaya hawatomsahau[emoji3][emoji3][emoji3]
Mnajipa moyo na mishumizi yenu mibaya,vunja bei kitu gani kibaya alichokifanya kwa Yanga!hamna Mwananchi atakaenunua shumizi za mikia na hamna mkia atakaenunua jezi za Wananchi,kila mtu atanunua jezi kutokana na mapenzi ya timu yake,sasa vunja bei kafanyaje hadi useme katufanyia kitu mbaya,tunachoongelea uzuri na quality ya jezi za mikia ni mbovu na ndio propaganda kibao kwenye mauzo zinawekwa hadi video za kitambo kuhaminisha watu ni jana!kwanza shumizi zenyewe za kucopy kwa arsenal na timu ya taifa ya tunisia
View attachment 1923837
View attachment 1923838
View attachment 1923839
Sasa sisi na wewe na anashindana na mwenzake?Unamdanganya Nani?unajidanganya mwenyewe,utataka TRA wakafuatilie kodi yao.Ujanja wote unataka kushindana na Yanga na GSM ,usiige kunya kwa Tembo utapasuka Msamba.Kuanzia Mwaka huu mtapata sana shida mjiandae kisaikolojia Yanga na GSM wamejipanga kweli kweli
Halafu mmempa vunja Bei kwa 2b, biashara kubwa hivyo na cjui kwa misimu mingapi... Hapa ndo Simba tunafelView attachment 1923248
Twendeni taratibu wana Simba muda bado upo. Fred ashauriwe kufungua matawi mengi Dar ili kuepusha msongamano.
Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba SC,🦁 Babra Gonzalez 👸 amesema kuwa baada ya kuingiza jezi mpya za Simba 🦁 sokoni ndani ya masaa 8 jumla ya jezi 42,000 zilikuwa zimeshauzwa na mawakala mbalimbali Nchini Tanzania Kwa bei ya 35,000/= ni sawa na sh 1,470,000,000
One Team One Dream #NguvuMoja
Wamejipanga haswa ndiyo maana wakamzawadiwa KapumbuUnamdanganya Nani?unajidanganya mwenyewe,utataka TRA wakafuatilie kodi yao.Ujanja wote unataka kushindana na Yanga na GSM ,usiige kunya kwa Tembo utapasuka Msamba.Kuanzia Mwaka huu mtapata sana shida mjiandae kisaikolojia Yanga na GSM wamejipanga kweli kweli
Goli za chini tutakazowapiga wale ni kuanzia 3Calm down, kunywa Mo Energy,pumzika kama dk 15 hivi,kisha ingia mitandaoni,angalia Jezi za Simba zinavyouzika Nchi nzima.Pole mtani,utazoea tu.Lakini pia nikukumbushe tar 12 safari ya kilio kwenu inaanza rasmi[emoji3][emoji3][emoji3]
Subiri mechi yenu na Rivers ipite ndio tutajua kama mmejipanga.Unamdanganya Nani?unajidanganya mwenyewe,utataka TRA wakafuatilie kodi yao.Ujanja wote unataka kushindana na Yanga na GSM ,usiige kunya kwa Tembo utapasuka Msamba.Kuanzia Mwaka huu mtapata sana shida mjiandae kisaikolojia Yanga na GSM wamejipanga kweli kweli
Binafsi nilijiuliza baada ya kuona kwenye foleni kuna mtu ana jezi ya njanoHiyo video ni ya zamani wakati Vunjabei anafungua maduka yake mkoani, pembeni hapo kuna wasanii. Jezi za Simba zitanunuliwa na zinauzika kabisa bilq ya propaganda za kishamba kama za hiyo video.
Goli za chini tutakazowapiga wale ni kuanzia 3
Propaganda tena!! Simba mna nini?
Hiyo video ni ya zamani wakati Vunjabei anafungua maduka yake mkoani, pembeni hapo kuna wasanii. Jezi za Simba zitanunuliwa na zinauzika kabisa bilq ya propaganda za kishamba kama za hiyo video.