Yanayoendelea maduka ya Vunja Bei ni shida

Yanayoendelea maduka ya Vunja Bei ni shida

Mbona Zambia nako kupiga kura ilikuwa ni kupoteza muda zaidi ya Tanzania mara mia ila wamefanikiwa kupata haki yao?
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Tanzania na Zambia
Mimi nimepiga kura mwaka jana nimejionea. Bila tume huru ya uchaguzi kupiga bado ni kupoteza muda
 
Yani wamepagawa hatari,Mkinga yule kawafanyia kitu mbaya hawatomsahau[emoji3][emoji3][emoji3]
Mnajipa moyo na mishumizi yenu mibaya,vunja bei kitu gani kibaya alichokifanya kwa Yanga!hamna Mwananchi atakaenunua shumizi za mikia na hamna mkia atakaenunua jezi za Wananchi,kila mtu atanunua jezi kutokana na mapenzi ya timu yake,sasa vunja bei kafanyaje hadi useme katufanyia kitu mbaya,tunachoongelea uzuri na quality ya jezi za mikia ni mbovu na ndio propaganda kibao kwenye mauzo zinawekwa hadi video za kitambo kuhaminisha watu ni jana!kwanza shumizi zenyewe za kucopy kwa arsenal na timu ya taifa ya tunisia

20210904_112447.jpg


20210904_112529.jpg


20210903_203231.jpg
 
Anawajaza makolo kolo wavae shumizi halafu yy anatinga kitu cha hamza

Screenshot_20210904-192630_Instagram.jpg
 
Mnajipa moyo na mishumizi yenu mibaya,vunja bei kitu gani kibaya alichokifanya kwa Yanga!hamna Mwananchi atakaenunua shumizi za mikia na hamna mkia atakaenunua jezi za Wananchi,kila mtu atanunua jezi kutokana na mapenzi ya timu yake,sasa vunja bei kafanyaje hadi useme katufanyia kitu mbaya,tunachoongelea uzuri na quality ya jezi za mikia ni mbovu na ndio propaganda kibao kwenye mauzo zinawekwa hadi video za kitambo kuhaminisha watu ni jana!kwanza shumizi zenyewe za kucopy kwa arsenal na timu ya taifa ya tunisia

View attachment 1923837

View attachment 1923838

View attachment 1923839

Calm down, kunywa Mo Energy,pumzika kama dk 15 hivi,kisha ingia mitandaoni,angalia Jezi za Simba zinavyouzika Nchi nzima.Pole mtani,utazoea tu.Lakini pia nikukumbushe tar 12 safari ya kilio kwenu inaanza rasmi[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kabla sijajua ni copy & paste,nikasema safari hii mtani katushinda kwenye designing ya jersey,kumbe loh[emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20210904-203951_WhatsApp.jpg
 
Unamdanganya Nani?unajidanganya mwenyewe,utataka TRA wakafuatilie kodi yao.Ujanja wote unataka kushindana na Yanga na GSM ,usiige kunya kwa Tembo utapasuka Msamba.Kuanzia Mwaka huu mtapata sana shida mjiandae kisaikolojia Yanga na GSM wamejipanga kweli kweli
Sasa sisi na wewe na anashindana na mwenzake?

Haya basi eh jezi yenu nzuri
Tuonyeshe na makombe yenu msimu uliopita ya maana


Ingekua jezi ndo mpira arsenal na spur wangekua mabingwa sana ila kwa sababu mpira sio jezi basi tulia
Tujiandae kisaiokolojia sisi....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kama tu nyie kapumbu hamkujiandaa una nguvu gani ya kutoa ushauri ww?
 
View attachment 1923248

Twendeni taratibu wana Simba muda bado upo. Fred ashauriwe kufungua matawi mengi Dar ili kuepusha msongamano.

Mtendaji mkuu wa klabu ya Simba SC,🦁 Babra Gonzalez 👸 amesema kuwa baada ya kuingiza jezi mpya za Simba 🦁 sokoni ndani ya masaa 8 jumla ya jezi 42,000 zilikuwa zimeshauzwa na mawakala mbalimbali Nchini Tanzania Kwa bei ya 35,000/= ni sawa na sh 1,470,000,000

One Team One Dream #NguvuMoja
Halafu mmempa vunja Bei kwa 2b, biashara kubwa hivyo na cjui kwa misimu mingapi... Hapa ndo Simba tunafel
 
Unamdanganya Nani?unajidanganya mwenyewe,utataka TRA wakafuatilie kodi yao.Ujanja wote unataka kushindana na Yanga na GSM ,usiige kunya kwa Tembo utapasuka Msamba.Kuanzia Mwaka huu mtapata sana shida mjiandae kisaikolojia Yanga na GSM wamejipanga kweli kweli
Wamejipanga haswa ndiyo maana wakamzawadiwa Kapumbu
 
Calm down, kunywa Mo Energy,pumzika kama dk 15 hivi,kisha ingia mitandaoni,angalia Jezi za Simba zinavyouzika Nchi nzima.Pole mtani,utazoea tu.Lakini pia nikukumbushe tar 12 safari ya kilio kwenu inaanza rasmi[emoji3][emoji3][emoji3]
Goli za chini tutakazowapiga wale ni kuanzia 3
 
Unamdanganya Nani?unajidanganya mwenyewe,utataka TRA wakafuatilie kodi yao.Ujanja wote unataka kushindana na Yanga na GSM ,usiige kunya kwa Tembo utapasuka Msamba.Kuanzia Mwaka huu mtapata sana shida mjiandae kisaikolojia Yanga na GSM wamejipanga kweli kweli
Subiri mechi yenu na Rivers ipite ndio tutajua kama mmejipanga.
 
Hiyo video ni ya zamani wakati Vunjabei anafungua maduka yake mkoani, pembeni hapo kuna wasanii. Jezi za Simba zitanunuliwa na zinauzika kabisa bilq ya propaganda za kishamba kama za hiyo video.
Binafsi nilijiuliza baada ya kuona kwenye foleni kuna mtu ana jezi ya njano
 
Back
Top Bottom