Mtoto wa kiume unahusda kama mke mwenza....kwani vunjabei haiwezi fanikiwa bila kuishudha GSMUnamdanganya Nani?unajidanganya mwenyewe,utataka TRA wakafuatilie kodi yao.Ujanja wote unataka kushindana na Yanga na GSM ,usiige kunya kwa Tembo utapasuka Msamba.Kuanzia Mwaka huu mtapata sana shida mjiandae kisaikolojia Yanga na GSM wamejipanga kweli kweli
Mapambano yanaendelea na huu ndo ukubwa wa simbaMtoto wa kiume unahusda kama mke mwenza....kwani vunjabei haiwezi fanikiwa bila kuishudha GSM
Vunja bai haziduagi maduka mchana tumia akili hata kidogo nakuongezea na nyinginevideo za uzinduzi wa maduka ya vunja bei. simba wameanza kuzitumia maajabu hayaishi Tanzania.
Mda huu bado unatesekavideo za uzinduzi wa maduka ya vunja bei. simba wameanza kuzitumia maajabu hayaishi Tanzania.
Mbona inaonesha ni uhlsportKongo na Agrey hiyoView attachment 1923321
Hivi Simba bado inatumia logo Ile ya zamani ninayo iyona hapo kwenye jezi nyeupe .. jifunzeni kuedit basi mnaonekana mafala! ..Kongo na Agrey hiyoView attachment 1923321
Haha uppercut kama aliyopewa Tony Rashid jana [emoji23] ..Wameshikwa na matumbo ya kuhara! Vunjabe kawapa uppercut GSM na Designer wao Sheria Ngowi [emoji3][emoji3]
Haha uppercut kama aliyopewa Tony Rashid jana [emoji23] ..
We ni mwehu sio bure, unamlinganisha gsm na vunjabei kwenye mauzo ya jezi🤣🤣🤣 aisee ebu fanya research kidogo utajua gsm mpaka sasa kauza jezi kiasi gani alafu urudi apa utwambieWameshikwa na matumbo ya kuhara! Vunjabe kawapa uppercut GSM na Designer wao Sheria Ngowi [emoji3][emoji3]
We ni mwehu sio bure, unamlinganisha gsm na vunjabei kwenye mauzo ya jezi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee ebu fanya research kidogo utajua gsm mpaka sasa kauza jezi kiasi gani alafu urudi apa utwambie
Hivi kuna mtu anadhani GSM anaweza kushindana na Vunja Bei?!!..Au wanadhani Vunja Bei ni mtoto kazaliwa Jana!!..Wakinga,wahehe,wanyakyusa,wabena,waluguru na wasukuma hawa huwaambii Kwa Vunja Bei!!..Wachaga,wapare,wazambaa,wamakondonde sijui watu wanawezaje kushindana na Vunja Bei!!..Mtu ambae anauza Jezi masaa 24,mtu ambae ana maduka karibia nchi nzima!!..unataka kumfananisha na mwenye Duka mlimani city,msasani,gongo la mboto huko!!.. wakati mwengine tukubali tu Vunja Bei kaja kuvunja yote!!..We ni mwehu sio bure, unamlinganisha gsm na vunjabei kwenye mauzo ya jezi🤣🤣🤣 aisee ebu fanya research kidogo utajua gsm mpaka sasa kauza jezi kiasi gani alafu urudi apa utwambie
Mwamedi kashaanza kuwalipa Waandishi habari wampigie promo kama kawaida yake
Weka link ya hiyo picha kuthibitisha.Ndio , ni uzinduzi wa duka la Vunjabei mkoani huko, achana na propaganda za kishamba. Simba ni kubwa, hahitaji propaganda uchwara kama hizi ili kuuza jezi, haya ni madhara ya kuwaachia kina Mwijaku kuwa sehemu ya uhamisishaji Simba.
Hivi kuna mtu anadhani GSM anaweza kushindana na Vunja Bei?!!..Au wanadhani Vunja Bei ni mtoto kazaliwa Jana!!..Wakinga,wahehe,wanyakyusa,wabena,waluguru na wasukuma hawa huwaambii Kwa Vunja Bei!!..Wachaga,wapare,wazambaa,wamakondonde sijui watu wanawezaje kushindana na Vunja Bei!!..Mtu ambae anauza Jezi masaa 24,mtu ambae ana maduka karibia nchi nzima!!..unataka kumfananisha na mwenye Duka mlimani city,msasani,gongo la mboto huko!!.. wakati mwengine tukubali tu Vunja Bei kaja kuvunja yote!!..
Mwamedi kashaanza kuwalipa Waandishi habari wampigie promo kama kawaida yake
Watu walidanganywa zimevuja zipo mtaani!!!..sasa wanaojua biashara wakaona kwasababu pressure ni kubwa mzigo tuachie sasa!!.. unaambiwa haijawahi kutokea jezi za team kuuzwa kama hizi za Mnyama!!..Hivi hawa Utopolo wanakutana wapi kujadili mambo Yao?!!..Sisi Jana tulikua na CEO live huko kwenye spaces katuambia katueleza na katufafanulia mambo ya club yetu,wao wako wapi?!!..Uto tulikwambia hapa jana ulianza kusherehekea jezi kuvuja,kuwa Freddy kapata hasara! Mbona sasa hivi ngonjera za kuvuja zimekwisha! Mtoto wa Kikinga kawajaza kwenye 18 zake mkajaa wazima wazima mkaanza kupiga promo bila kujijua,mnastuka Jezi zinatembea Nchi nzima.Huyu ndiyo Vunjabei ukisoma uwe unalisoma jina lake kwa kituo[emoji3][emoji3]
Watu walidanganywa zimevuja zipo mtaani!!!..sasa wanaojua biashara wakaona kwasababu pressure ni kubwa mzigo tuachie sasa!!.. unaambiwa haijawahi kutokea jezi za team kuuzwa kama hizi za Mnyama!!..Hivi hawa Utopolo wanakutana wapi kujadili mambo Yao?!!..Sisi Jana tulikua na CEO live huko kwenye spaces katuambia katueleza na katufafanulia mambo ya club yetu,wao wako wapi?!!..