Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum

Kuna ambaye alikua na uthubutubwa kuyasema mabaya ya wateule wa jiwe akabaki salama enzi za mwenda zake?

Hivi Dr Abbas bado yupo ofisini?
Dr. Abbas ni moja ya mazwazwa yalokuwa yamewekwa na Hayati Makufuli.
Shame on that hopeless guy!!
 
Wewe ndiye SABAYA na kwa taarifa yako tu ni kuwa kati ya kesho au kesho kutwa hicho kiti ulicho kikalia kwa kofia ya dc,hutokuwa na nafasi ya kukikalia tena.

Ndiyo mwisho wa ajira yako ya kuhudumu serikalini maana huna sifa hiyo.
 
Ndio maana tumesema Ole ajitokeze kuongelea hizi tuhuma ili kama anachafuliwa hatua za kisheria zichukuliwe kwa mchafuaji

Kama sivyo awajibikie tuhuma zake

Tanzania ni yetu sote maendeleo hayana vyama
Leo hii ndiyo mnamuona Sabaya hafai baada ya baba yenu kuitwa na Mungu wa kweli?
 
Anajitetea maana yeye Sabaya ndiye kapandisha huu uzi
Mhuni mkubwa asiye na haya wala aibu....!!!
Mama Samia tuondolee huyu mtu.....vichaa kama huyu ndo huweza sababisha mauaji ya kimbari...! Akwendreee zake jamii haimtaki asilan!
 
Lini nilimuona anafaa
Wewe nawe una kisiraniiiiiii jifunze kuweka hisia mbali na maamuzi ya msingi
Siwezi kuwasamehe nyie maadui nambari moja wa umoja na mshikamano wa watanzania.

Nchi nyingine nyie muda huu ilibidi muwe mpo Isanga prison kwa jinsi mlivyo igawa nchi vipande kwa manufaa ya matumbo yenu.
 
Siwezi kuwasamehe nyie maadui nambari moja wa umoja na mshikamano wa watanzania.

Nchi nyingine nyie muda huu ilibidi muwe mpo Isanga prison kwa jinsi mlivyo igawa nchi vipande kwa manufaa ya matumbo yenu.
Pole zako maana unaowaita maadui ndio wanakuongoza
Kama hujui ipo siku utajua tuu
 
Mtoa Post Ni mpuuzi TU
1-unasema swai Ni mwanachadema, je kuwa mwanachadema Ni kosa la jinai?(zwazwa wewe)
2-tuhuma za swai kwa DC zilianza 2019 alitoa malalamiko yake kwenye kikao Cha wafanyabiashara na tra
3-huyo DC alivamia hotel ya mbowe (Aishi hotel machame) na picha za CCTV camera zipo Ni haramia
4-zama zenu za ushamba na uharamia zilishaisha ,shika jembe ukalime
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…