Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum

Ndio maana tumesema Ole ajitokeze kuongelea hizi tuhuma ili kama anachafuliwa hatua za kisheria zichukuliwe kwa mchafuaji

Kama sivyo awajibikie tuhuma zake

Tanzania ni yetu sote maendeleo hayana vyama
Ni wewe au mwingine?
 
Sawa...SABAYA TUMEKUSIKIA...
 
Sabaya acha utoto...umeandika uzi mrefu wenye mashudu tupu
 

Mimi sijakuelewa unataka tujue na tuelewe nini hasa kwa sisi tusioijua hiyo Hai...

Inawezekana una tatizo kidogo la kushindwa kujieleza ili kujenga hoja thabiti...

Kwa upande mwingine, wewe huna jingine bali una matatizo yako binafsi na Freeman Mbowe na CHADEMA kwa ujumla...

Unatumia uchochoro huo kumtetea DC wa Hai, Ole Sabaya ambaye kwa vyovyote vile hana ethics za uongozi and he has to go...
 
Wewe ndie Ole Sabaya unajitetea. Matendo yako na historia yako itakuzika kisiasa soon
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Sasa nikuulize, Wewe unasema wametumwa na umewataja kwa majina.

Swali langu kwako.
Ni nani amekutuma wewe kuandika haya uliyoandika
Nimeleta uzi humu kuhusu mabaya aliyo fanya mods wakapita nao.
Nikaona si vyema kukaa hivi ngoja nifurahishe jopo la mods kwa uzi huu na mpaka sasa unaishiπŸ™πŸ™πŸ™
All is well, kukumbuke kujifukiza.
KAGAMEE njoo usome
 
Wewe ndiye SABAYA na kwa taarifa yako tu ni kuwa kati ya kesho au kesho kutwa hicho kiti ulicho kikalia kwa kofia ya dc,hutokuwa na nafasi ya kukikalia tena.

Ndiyo mwisho wa ajira yako ya kuhudumu serikalini maana huna sifa hiyo.
Hahaah 🀣🀣🀣
Mpeni salamu Sabaya
 
Kwahiyo ni mkakati watu wamemuambia amdharau Boss wake? Mabega yapo juu sana kwa huyu kijana mwenzetu.
Ishi na watu vizuri hata utakaposhuka watakuinua.
 
Kwahiyo ni mkakati watu wamemuambia amdharau Boss wake? Mabega yapo juu sana kwa huyu kijana mwenzetu.
Ishi na watu vizuri hata utakaposhuka watakuinua.
πŸ™πŸ™πŸ™Dua mkuu
 
Nimeleta uzi humu kuhusu mabaya aliyo fanya mods wakapita nao.
Nikaona si vyema kukaa hivi ngoja nifurahishe jopo la mods kwa uzi huu na mpaka sasa unaishiπŸ™πŸ™πŸ™
All is well, kukumbuke kujifukiza.
KAGAMEE njoo usome
Hahaa Sabaya awamu hii hana chake.Aungane na Makonda wakaunde serikali ya wahuni huko Syria.
 
Kwahiyo ni mkakati watu wamemuambia amdharau Boss wake? Mabega yapo juu sana kwa huyu kijana mwenzetu.
Ishi na watu vizuri hata utakaposhuka watakuinua.
Uvccm wote hamna roho ya kibinadamu.
Woote mnanuka dharau na ukatili
 
Mumeo Sabaya anakufanya uandike Waraka mrefu kiasi hiki????
 
Sabaya hafai kuwa DC katika Awamu hii. Mambo yote muulizeni RC wa KILIMANJARO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…