Yaani hao kwa kuchambana ndio wenyewe, mie jana namsikia watu wanazungumza na vipaza sauti vyao viko wazi vinaingiliana hadi sisi kwenye tv tunasikia mwingine alikuwa anahadithiana habari za jana yake, wengine watoto wao uko nyumbani waivyokuwa wasumbufu, mwingine ndio anaongea kwa sauti tumekuchoka anamwambia mbunge mwenzie anayepayuka kuchangia yaani kama kilabu cha pombe hawana hata aibu. utafikili vyuzi zao zimekatika naona mitambo ile inawatoa akili ovyo kabisa kichefuchefu tena mie naona hata aibu kulingalia.