Yanayojiri Bunge la Katiba Dodoma leo 06/03/2014

Yanayojiri Bunge la Katiba Dodoma leo 06/03/2014

umenena mkuu! hii ni sanaa tupu! maendeleo TZ ni ndoto kwa mwendo huu! It looks like there is an evil spirit behind us! nashindwa kuamini kusikia wasomi maprof wakishadidia kura ya wazi kwa kutumia hoja zisizo na mashiko! ningekuwa mm ndo naamua peke yangu ningelipiga chini bunge hili mapema kabla hatujafika mbali! Mtikira alisema kuwa ni genge la wahuni watu wakambeza lakini yako wapi mawazo ya watu wenye hekima tuliyoyatarajia? tunakazi ya kufanya mabadiliko!
Hii inadhihirisha wazi kwamba kazi itakuwa ngumu kutokana na wanaofanya kazi hii kuonekana kama genge la wahuni fulani
 
wewe umekata tamaa, kwa hiyo unataka kutuvunja moyo watanzania wote, kaa kimya, hujui
kitu.
Inawezekana kabisa kuwa sijui kitu lakini tuliowadhania kuwa wanajua nahisi ukweli uko wazi kwa wanachokifanya huko.
 
mimi nicho pinga ni muungano usio na uwiano sawa, uk muungano wao hauna kifungu cha pm akiwa wa england basi deputy awe wa scotland au kupokezana vijiti, pili idadi ya wabunge inategemea na ukubwa wa sehemu, na sio wengine wanapewa nafasi zaidi mahali ratio inatakiwa kuwa 96:4 kwetu inakuwa 70:30 au zaidi ya hapo, ndio maana manunguniko hayawezi kuisha
 
Mtz asome kanuni awache kufikiria kusaini laki + laki + laki = baki na shida zako.
 
Mm najifariji hata hichi nilicho andika na nashukuru umenielewa nini nilicho sema angalau

Kweli unahitaji Faraja maana Kiswahili Kibovu sana hicho noma sana Mazee teh! teh! teh! teh!
 
Back
Top Bottom