Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Sita aache mipasho hapo .................. labda aseme yeye ndiye aliyempendekeza. Mwanasheria mkuu anateuliwa na Rais.
Kificho ni mtu wa utani sana eeh!
Nimempenda.
Kuna waheshmiwa wanatakiwa kukutana dodoma hotel
lowasa
wasira
ngereja
membe
makamba
magufuli
na sitta