TBC Taifa wanarusha Bunge live hapa.....Rungwe anaulizwa uzoefu wake wa kuuza magari na kuendesha Bunge una uhusiano gani.....jibu: uzoefu ni uzoefu; hata biashara ina kanuni kama Bunge....anasema kuwa yeye ni wakili wa High Court na kesi za jinai na madai anashinda,kwa hiyo yeye ni mwanasheria mzuri.......Swali: biashara ya magari alifanikiwa ua? Jibu...mfanya biashara ana njia mbili; si dynamic....biashara bado anafanya mitandaoni, na si kuyappnga kama Wajapani