Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Sitta anachaguliwa kwa kura ya siri, nitashangaa akija kuikubali kura ya waziWagombea watajieleza mbele ya wajumbe kuomba kura kisha kura za siri zitapigwa kumchagua mwenyekiti
Pamoja sana Mkuu. Ila Hashim Rungwe anaboa sana. Ni aibu anasoma maelezo yake ya kuomba kura. Nashangaa anasoma mpaka jina lakeSamweli Sitta ametakiwa kusubiri nje na ataitwa na watendaji, Joshua Nathari anaomba kutoa ufafanuzi ila kificho anamuhoji kua anaomba ufafanuzi chini ya kifungu kipi cha kanuni.
Kisha Joshua anauliza aina ya kura itayotumika, anajibiwa ni ya siri.
Sasa Hashimu amekaribishwa kujieleza.
Dogo Janja Nassari kaomba kitu kutoka kwa mwenyekiti anaomba ufafanuzi
Nasari anaomba ufafanuzi kama kutakuwa na kura ya wazi au siri,teh,teh,mwenye akili jaza
Rungwe anamwaga Sera kwa dk 3
Anauliza swali kua je kura itakayopigwa ni ya siri au ya wazi? Huyu katokea baa kama sikosei kwakua mwenyekiti kamwambia hiyo ndio faida ya kuchelewa!