Updates....swali kwa Rungwe: Mh. unaonekana hujielewi ktk maelezo. Sasa unaweza kuongoza kwa viwango....jibu: hakuna chuo cha kuongoza bunge; acha kutetemeka...naomba kura...niligombea urais kupitia NCCR na kupata Wabunge wa4...anasisitiza anaomba kura