Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Skype, wakati Mheshimiwa Mwenyekiti Mteule wa Bunge Maalum la Katiba, Sammuel Sitta akitoa salamu za shukrani, nasi tuwashukuru wale wote walioshiriki nasi kwenye mjadala huu. Pongezi za pekee ziende kwa Mods wa Jukwaa hili na wamiliki wa JF kwa ujumla kwa kutuwezesha Watanzania kushiriki kwenye mjadala huu. Tuungane kesho kwa ajili ya uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti ambapo nabashiri kuwa atakuwa Mheshimiwa Samiha Sululu kutoka Zanzibarteh teh teh
Nipo katikat mwa mjiwa urambo nyumban kwa sitta watu hawana lolote hawajui chochote wapowapo da
Sitta: ".... Mimi na Andrew Chenge ni marafiki wa siku nyingi na ndiye niliyemteua kuwa mwanasheria mkuu...." HIVI KUMBE NCHI HII KAMA HUJULIKANI NDO BASI TENA