Mkuu Skype ndo nini kuketi kimya ama wajifanza hujaelewa ombi langu la Audio na pia tuongeze na ya Lukuvi
chezea mipasho ya kizenj,kwakweli uvumilivu uliwashinda kabisa,kila mbunge anaesimama anaunga mkono mfumo uliopo.unategemea nini hapo kama si watu kukimbia kuepuka aibu wakati wa upigaji wa kura?Hii style yao ya kususa haito wasaidia bora wangetumia njia nyingine kuliko hii kila leo.
Hivi posho watachukua?
Kesho watarudi?
Mimi nawaomba warudi makwao
Hebu twambie kwanza wewe uko nchi gani Rais wako nani naona kama hujielewi hivi.Hili ndio tatizo kujaza makada humo ndani kwa kitu muhimu katika nchi, walicholishwa ndicho watapikacho hapo.
Hawaongei hoja yoyote ya maana kutetea hiyo serikali mbili.
Ni mipasho, matusi na kejeli. Nilijua tu hawa watu waliopandikizwa humo ni vituko na hakuna katiba bora hapo ni upuuzi na kupoteza kodi za wananchi, bora hizo hela zingeenda kwenye huduma.za jamii.
mkuu, pole kwa usumbufu wowote ulojitokeza, sijakaa kimya makusudi bali nimetingwa kimajukumu. Vilevile hujaniambia ni audio ya nani unaitaka ili kama ninayo nikutundikie ama nikuelekeze pa kuipata. Natanguliza shukrani kwa kunielewa.
mwa 4Mkuu hebu nisaidie UKAWA nje ya bunge imeishia wapi ambayo katibu wa ukawa huo ni dr slaa,hii ni wazi kuwa hata hawa wataishia sakafuni tu.
Cheche Mtungi unauwa kakamwa 4
===>Subiri kuanzia kesho utawasikia,sio rahisi kwa CCM kutunga katiba bila upinzani.ni sawa na mwanamke kuzaa bila mbegu za kiume.