Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Ccm wanapinga kila jambo muhimu katika rasimu, katika bunge hili wao ndio wapinzani ila si wapinzani tu ila wapingaji.
Wanakataa ila watalazimika siku moja
 
Wakuu JF Amani iwe nanyi.


Bunge Maalum la katiba linaendelea kutufumbua macho as days goes on.
Leo tumekuja kujua kuwa Ndugu zetu wa Zanzibar pamoja na jeuri yao yote kumbe hawajiwezi na wamekiri kabisa kuwa wao Zanzibar kama Zanzibar hawawezi kufanya kitu bila Tanganyika.
Wamekiri kuwa hawajiwezi kabisa katika masuala mbali mbali, Umeme, Elimu, Madawa, Shule etc etc wengine mtakuja hapa kujazilizia.
Wameenda mbali zaidi na kusema kuwa wao hata wakipewa kiti UN Hawataweza kumgharimia huyo balozi wao huko ughaibuni.
Wa Zanzibar hao wanakiri kabisa kuwa ndani ya Miaka ya 50 ya Muungano wamefika hapa walipo kwa Fadhila za Tanganyika.
Haya yameelezwa na wabunge wa CCM kutoka Baraza la wawakilishi Zanzibar.


Waone Barubaru Pasco, Bobwe , dudus 50thebe n.k

Taarifa hii Ukawa wasusia Bunge, watoka nje" iliyochapwa na gazeti la mwananchi, imerejea alichosema Mh Lipumba haiakisi hata kidogo maoni ya WanaCCM Zanzibar. Sijui ndio yale ya kuzoea vya kunyonga aliyoyasema Mh Lissu, sijui!!
 
anataka serikali tatu na anaetaka serikali mbili nani anatafuta tonge? Shabikia ujenzi wa viwanda ndugu na sio mi idadi ya serikali isiyokuwa na tija kwa watanzania
We mbulula viwanda, uchimi hata elimu haviji kama una mfumo legelege wa utawala na utawala hautoki mbinguni!, that's why wako pale wanajadili jinsi yaku-run mambo yetu! Sasa wewe kwa sababu hujitambui unafiki viwanda vinaota kama uyoga!!!! Viwanda ni uchimi na uchumi ukue unatokana na sera madhubuti, sera madhuti zinatokana na utawala/ serikali imara ambayo inatokana na Katiba yenye mfumo bora,wazi na madhubuti!! Sasa hiyo Katiba bora hatuwezi kuipata
kupitia Bunge hili lililojaa wasaka tonge!!!
 
Hujui kwamba hata kama wakikomaa bado watahitaji wananchi kwaajili ya kura? Sasa kama hakuna hata dalili za kufikia kura ya wananchi ni bora kuacha mapema ili kutoa elimu!!
elimu Gani watakayotoa waeleweke?
wanalazimisha mawazo yao yakubalike kwa kutumia mabavu!sasa wananchi washawaelewa hawana lolote,
na mawazo yao ndo yashafutika milele,kwa kitendo cha kuondoka bungeni
 
Mimi niliandika hapa kwamba rais kuliongelea hili tu kunaonyesha alivyo hamnazo.

Kuna vitu vingine hutakiwi hata kuviongelea in passing, lest you tempt the adventurous.

As you may be aware, that any idea supported by strong emotions, is accepted by the subconscious mind 'as true' and the Infinite Intelligence subsequently starts working on it to bring it into its equivalent physical form, regardless of whether the outcome is pleasant or disastrous.

It is unfortunate that the most dominant and powerful emotion is the emotion of fear! JK has just introduced this fear and his puppets are busy instigating it using all available means and the media is busy with the propagation.

If this negative force is not checked and balanced, we may as well get prepared for a military govt in the near future.

I have made a prayer to arrest the situation, and I shall keep on keeping on till it is answered.

I call upon you all, who wishes tz to be a better place to live, to join me in this endeavor.
 
Taarifa hii Ukawa wasusia Bunge, watoka nje" iliyochapwa na gazeti la mwananchi, imerejea alichosema Mh Lipumba haiakisi hata kidogo maoni ya WanaCCM Zanzibar. Sijui ndio yale ya kuzoea vya kunyonga aliyoyasema Mh Lissu, sijui!!

Mm nawashangaa sana wana ccm znz achilia mbali kashfa na ubaguzi wa Rangi na Ubaguzi wa UPEMBA BA UNGUJA walio nao.
Lakini nawashangaa jinsi wanaposinama na kujinasibu kuwa wao ni machotara wa Znz na Tanganyika wakisisitiza kama wazee wao asili zao ni Bagamoyo,,Kirwa, Pangani, Lindi nk yaani wao ni ndugu zetu wa damu kabla na baada ya muungano na wanasisitiza kama hawatakubali muundo wowote wa nuugano zaidi ya hu tukio nao waserikali 2 kwa kuwa ni nuungano ulio nafaida nyingi pamoja za kiusalama. Hili la kiusalama wanekwenda mbali zaidi wanasema muundo hu unazuiya sultan mkoloni kurudi znz.
Sasa kama wao ni ndugu zetu wa damu kama wanavyo jinasibu na kwa sababu za kiusalama kwanini hawa malizii tu kusema tuondowe serikali ya SMZ tubaki na ya JAMHURI YA MUUNGANO Tu? Hapa ndipo panapo nichanganya mm kwa wajumbe wa CCM znz.
 
We mbulula viwanda, uchimi hata elimu haviji kama una mfumo legelege wa utawala na utawala hautoki mbinguni!, that's why wako pale wanajadili jinsi yaku-run mambo yetu! Sasa wewe kwa sababu hujitambui unafiki viwanda vinaota kama uyoga!!!! Viwanda ni uchimi na uchumi ukue unatokana na sera madhubuti, sera madhuti zinatokana na utawala/ serikali imara ambayo inatokana na Katiba yenye mfumo bora,wazi na madhubuti!! Sasa hiyo Katiba bora hatuwezi kuipata
kupitia Bunge hili lililojaa wasaka tonge!!!
endelea kuwasifia ili baadae uje uandike bora zilezile mbili,
 
Mkuu hawajaokotwa wameteuliwe kutoka kwenye makundi yao wanayofulsa nzuri na upeo mzuri sana wa kutoa mchango wao katika kutunga katiba.
ni kweli lengo ni uwakilishi. Hata hivyo uhalisia unaonyesha kuwa wengine upeo wao uko chini mno; waliwekwa hapo kimkakati ili wapige kura kama watakavyoelekezwa na walio wengi mjengoni.
 
Back
Top Bottom