Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

msanii ni mbowe na genge lake mnao fanya siasa hata kwenye meza ya uandishi wa katiba. i mean full time politics is unprogressive and hopeless kwa maneno mengine kusimamisisha maisha ya watu wote na mambo mengine yote hadi siku akiwa kiongozi wa nchi , haa ni ujuha, upumbavu na ni upumbavu ulio wa hali ya juu kwa wafuasi kama wewe
i am sure wewe ni mfua nguo wa pale magogoni! ndiyo maana kikwete na lukuvi wanawatisha watanzania kuwa wakichagua serikali tatu jeshi litachukua nchi? kikwete ndiye anafanya siasa,! yeye anaalikwa kufungua bunge la katiba yeye akadhani anahutubia kikao cha nec! shame on you!
 
Wananchi wazalendo tunalaani sana huu uhuni wa UKAWA, kuchukua Posho na kutoka nje ya bunge maalum bila sababu za maana!

Acha unafiki wewe ni nani ueasemee watanzania wakati hata maoni yao kwenye bunge mmeyadharau????sema wewe mwananchi sio sisi acha unafiki wewe ,msimu wa kutumia nguvu ccm umeisha pita kitambo tumieni hoja wahuni nyie, mnafikiri kama mmeweza kuwaburuza wajumbe wenu mlio wahonga ndio mtawaburuza wote, shwain CCM MMEHARIBU MCHAKATO WA KATIBA KWA UFINYU WENU WA MAWAZO NA KUFIKIRI KILA KITU KINALAZIMISHWA.
 
Hawana jipya hao alafu mpango wa kuondoka bungeni inaoneka walikuwa wameisha usuka kitambo!

UKAWA wamekosea sana kutoroka mjadala wa kibemokrasia.ni kosa kukimbia mawazo ya walio wengi kama ujanja wa kushinikiza maoni yako.katika mambo ya msingi kitaifa itakuwa
Kufikia maamuzuzi kwa kuogopa wasusiaji au kwa kuwaonea huruma.hata sisi tusio ndani ya bunge tunatofautiana lakini tunaheshimu maoni ya wengi.mfano tunatofautiana katika yafuatayo;
1)Wapo wanaotaka mahakama ya kadhi na kujiunga oic.wapo wenye mtazamo tofauti kabisa.hatumalizi tofauti hizi kwa kususia majadiliano
2)wapo wanaoai zanzibar inapunjwa na tanganyika kwa kuvaa utanzania.wapo wanaodai zanzibar inaipunja tanganyika kwa kupata migao mbali mbali ambayo ni mikubwa sana ikilinganishwa na uwiano wake wa idadi ya watu au mchango wa uchumi
3)wapo wanaotaka tanganyika iwe nchi na zanzibar nchi nyingine.wengine wanaona hii haifai
Sasa UKAWA ikitoroka majadiliano inataka wananchi tushughulikie vipi tofauti zetu?ama wanataka kuhamasisha utaratibu fulani?
 
UKAWA wamekosea sana kutoroka mjadala wa kibemokrasia.ni kosa kukimbia mawazo ya walio wengi kama ujanja wa kushinikiza maoni yako.katika mambo ya msingi kitaifa itakuwa
Kufikia maamuzuzi kwa kuogopa wasusiaji au kwa kuwaonea huruma.hata sisi tusio ndani ya bunge tunatofautiana lakini tunaheshimu maoni ya wengi.mfano tunatofautiana katika yafuatayo;
1)Wapo wanaotaka mahakama ya kadhi na kujiunga oic.wapo wenye mtazamo tofauti kabisa.hatumalizi tofauti hizi kwa kususia majadiliano
2)wapo waodai zanzibar inapunjwa na tanganyika.wapo wanaodai zanzibar inaipunja tanganyika kwa kupata migao mbali mbali ambayo ni mikubwa sana ikilinganishwa na uwiano wake wa idadi ya watu au mchango wa uchumi
3)wapo wanaotaka tanganyika iwe nchi na zanzibar nchi nyingine.wengine wanaona hii haifai
Sasa UKAWA ikitoroka majadiliano inataka wananchi tushughulikie vipi tofauti zetu?ama wanataka kuhamasisha utaratibu fulani?

Acha kuongea uharo kama unawaza kwa kutumia nyuma ,ukawa wanawawakilisha wananchi walio nje ya bunge huku ccm mkitumia uwingi wenu ndani ya bunge kupitisha upuuzi,,haya muwe huru sasa pitisheni kila mnacho kitaka kwa uhuru mashetani nyie,UKAWA NA WANANCHI CCM NA WACHUMIA TUMBO.
 
Vijana wa CCM kwenye ofisi za umma....? Kwani waajiriwa wa serikali ni wanasiasa nyie mshavurugwa na mmevurugika vizuri kwa taarifa yenu hakuna Serikali tatu hapa.

serikali tatu ni lazima tuone kama kikwete atajiuzulu maana alisema yeye hazitaki!
 
Acha kuongea uharo kama unawaza kwa kutumia nyuma ,ukawa wanawawakilisha wananchi walio nje ya bunge huku ccm mkitumia uwingi wenu ndani ya bunge kupitisha upuuzi,,haya muwe huru sasa pitisheni kila mnacho kitaka kwa uhuru mashetani nyie,UKAWA NA WANANCHI CCM NA WACHUMIA TUMBO.

Hizi ndio hoja zenu.si majifahamu!
 
tusiunge mkono kila kitu,upuuzi waliofanya ukawa ni wakitoto,wamejidhalilisha na kuonekana kama umoja wa wahuni,mbinu za kitoto na hasira hata sikumija hazileti mageuzi,
Je wanamageuz wa zamani walifanya upumbav kama hu?
R,I,P UKAWA na serikali 3 ni zaidi ya ndoto,bora mngekomaa mulemule ndani mngeeleweka kimtindo,na kama mnategemea wananchi wawasaport mmepoteza maboya kwishaaa...
Hujui kwamba hata kama wakikomaa bado watahitaji wananchi kwaajili ya kura? Sasa kama hakuna hata dalili za kufikia kura ya wananchi ni bora kuacha mapema ili kutoa elimu!!
 
Kutukana ni dalili ya uoga na kufilisika kihoja hivyo basi baada ya kufuatilia comments za watu wengi wanaotaka serikali tatu naona wamejaza matusi tu kejeli badala ya kujadili hoja.
 
JK is behinde all this, alienda kulichafua bunge sasa ccm watatunga kweli katiba waitakayo

kikwete amezoea mambo ya hila hila lakini mwisho atakwama tu! ndiyo maana kigali na nairobi wanmuita SNITCH!!!!!!!
 
Watadanganywa wazanzibar wa ccm hapa Dodoma lakini wakirudi Zanzibar utawaka moto wa usaliti mpaka wataona bora wangekubali serikali tatu.

Na hili ndio hofu yangu kubwa. Z'bar kutawaka moto hakika nawaambia.
 
Hizi ndio hoja zenu.si majifahamu!

Jibu hoja acha kujifanya hujaelewa kilicho andikwa,,tatizo la wana ccm akili ndogo hadi matia kinyaa UKAWA NI WATETEZI WA MAONI YA WANANCHI CCM NI WATETEZI WA MATUMBO YA WAKUBWA WACHACHE WANA WAPEKELESHA BUNGENI KWA KUWATAKA MFUATE MATAKWA YAO. RUBISH WANA CCM MLIO SHIKIWA AKILI NA WASIRRA NA KUNDI LAKE.TUMIENI AKILI ZENU ACHEN UJUHA NYIE ,MTAAMLIWA HADI LINI.??
 
Kutukana ni dalili ya uoga na kufilisika kihoja hivyo basi baada ya kufuatilia comments za watu wengi wanaotaka serikali tatu naona wamejaza matusi tu kejeli badala ya kujadili hoja.

Ccm mkishindwa hoja huwa mnakimbilia kusema mmetukanwa ,,,kweli ccm akili ndogo tena sana.pole kwa kushikiwa akili na kundi la wasira
 
Kutukana ni dalili ya uoga na kufilisika kihoja hivyo basi baada ya kufuatilia comments za watu wengi wanaotaka serikali tatu naona wamejaza matusi tu kejeli badala ya kujadili hoja.

mimi najishangaa peke yangu! Hivi inawezekana masikio yangu yanatafsiri vibaya kinachosemwa? Nasema hivi maana Kama kuna walio na matusi niliyoyasikia Mimi ni wale upande wa serikali mbili. Hasa kina mama wa Zanzibar! Sasa wewe unease a tofauti, Pengine Mimi Ndiye is kusikia vizuri au lambda wewe!
 
Mimi ni muumini wa s3 kwasababu zitaleta nidhamu ya kazi, na pale kwenye matatizo itachochea kutafuta suluhu iwe ya kisiasa au kiuchumi, pia ita tukuza haki za nchi husika sio huu muungano usio wa uwiano, wa watu 1.5 m kuwa sawa na watu 43m, pia utaleta nidhamu ya pesa kwani itakuwa rahisi kuona ubadhirifu, utapunguza uteuzi na mlolongo wa viongozi wa kisiasa, kama ilivyo sasa Raisi wa URT, makamu wa Raisi, then PM, the Raisi wa baraza la mapinduzi , halafu makamu wa 1 na 2 wa baraza la mapinduzi , then uteuzi wa kamati , tume, ubalozi n.k kukizi changa moto za muungano na kisiasa badala ya kufanya teuzi kukizi uhalisia wa mambo na hali ya uchumi. Mfano kama kweli znz wana ukwasi wapesa basi hawawezi ku entertain mlolongo wa viongozi, tume kamati, baraza la mawaziri nk na vivyo hivyo kwa bara nakwenye serikali kuu au ya muungano. sasa hivikuna ubadhirifu mkubwa wa fedha, utawala, uwiano wa nchi husika unaofichwa ndani ya chaka la muungano
 
Back
Top Bottom