Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Pamoja na kuwa hoja ya serikali tatu ina mashiko,Kwa kipindi hiki kupita kwa hoja hii Ni kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano..
. practically impossible......kanuni ya kura ilishapitishwa.....wengi wape......


.




.
 

Akili za udongo hata ukiongezewa mawazo mengi kama yapatikanayo JF utabakia vumbi tu...utakapofunguka macho 'udondoshe magamba' utagundua ulivyo na akili iliyo dhoofu!

Wanaokula posho wa wizi na kuweka wajumbe 201 hadi waganga wa kienyeji Kinje- (ajenti wa shetwani), hao ndio unawaona wanakula halali na kuuharibu uhalali wa Rasimu ya Katiba? Your poor mind shall cost you your entire intelligence and knowledge!
 
Kwa aliyeangalia bungu maalumu la katiba atujuze kama mheshimiwa zitto aliungana na kina lipumba kutoka nje ya bunge la katiba?
 

jibu ni ndiooooooooooooooooooo!
 
Waroho wa madaraka ni hao ccm wanaomfanyia dua mbaya Jaji Warioba afe kwa vile inapunguza madaraka ya wachumia tumbo wa ccm kwa hiyo wanaona nafasi zao zitakuwa mashakani.
Ndio maana wanang'ang'ania mbili ili waendele kitawala huku wakiendelea kuongeza wizara hadi mawaziri wengine hawana wizara maalum.
 
Wamechelewa sana!!!!!
Better late than never though

Ccm wameshinda kwa hoja za matusi .nilikuwa najiuliza sana ni jinsi gani Ukawa wanavyoweza kuvumilia matusi,kebehi..matambo,dhihaka .toka asubuhi mpaka jioni ,kwa kweli nimewadharua sana aina ya viongozi ndani ya ccm.
 

Hilo swali lako haliihitaji RESEARCH, si umewaona hata Dr. Mwakyembe na Prof. Shivji wanavyolamba matapishi yao??
 
Alichokisema Lipumba Leo bungeni
cc Ritz , FaizaFoxy na CHAMVIGA
===>Mnaojikomba nao hamuwajui,yao ndio hayo jipangeni sasa.
Source😛age ya Facebook ya Julius Mtatiro :https://www.facebook.com/julius.mtatiro/posts/10200979622253116
 
Last edited by a moderator:
Inabidi uhurumiwe sana kwa kuwa kana kwamba leo ndiyo unaingia hapa duniani lakini mimi sikushangai sana kwa kuwa ni miongoni mwa watu ambao akili yao wameshikiwa na ukawa pamoja na vyama vyao vya siasa.

kama wewe ambavyo ccm umekufanya umedumaa kiakili huwezi kufikiri nje ya box maskin.!
 


.....ni mbulumundu tu atakeye kataa S 3
 
kabla ya kuandika tafakari kwanza, UKAWA tuliwatuma kwenda kujadili rasimu yenye maoni ya watanzania na si maoni ya ssm.:israel::israel:
Laana ya NYERERE na KARUME kwa matusi yenu kwao imewarudieni
 
Kama atakuwa hajatoka, basi atakuwa amejidhalilisha sana! Kuendelea kubaki na hao interahamwe itakuwa ni aibu kwake!
 

....well said Mkuu
 
nibora walivyo toka yani wabunge ambao wanamawazo tofauti na ccm wanawazomea yani hawana hata amani ya kuchangia.... ila akiongea mbunge wa ccm anapigiwa makofi akitukana pia anapigiwa makofi. yani ni zomea zomea tuuu mpaka mwisho
 
Ni kweli kabisa. Hata yule mbunge wa bunge maalum kutoka Znz aliyaona hayo.
 
Umoja ni nguvu Daima Umoja huu hadi Tanganyika Huru,
Zanzibar Huru,
Kisha Shirikisho Huru la Tanzania,
Wametoka huku wengine wakashangilia lakini moyoni wanaumia.
Tumewapokea kwa
Sauti ya Uchungu,
Sauti ya Mabadiliko
Sauti ya Tanganyika,
Sauti ya Zanzibar,
Sauti ya Shirikisho huru Tanzania.
Sauti ya kuulinda Muungano daima,
Mtatucheka huku mkiumia lakini kumbukeni walianza wachache sasa wako wengi,walioneka Chadema wanapenda kutoka sasa wote wameelewa kutoka ni kuepusha machafuko mjengoni;
Maoni yatu wananchi lazima yaheshimiwe,
Mmeshindwa kuyaheshimu basi msitulaumu kwa uwamuzi wetu Mungu yuko na sisi,
Tumevuka bahari tumekuwa kitu kimoja sasa Zanzibar na Tanganyika,
UKAWA DAIMA;
 

Kichaa n kichaa tu hata umvishe suti ataivua na kubaki mtupu,ndo kitu unachokionesha hapa,umeshindwa jibu hoja povu limekutoka,ukitaja mawakala wa shetani uspomtaja Tundu lissu naww utakuwa agent wa Shetani pia....kama posho wamechukua za mpaka tr 31 kwann wasingelitoka jana,?kwann iwe leo huo ubaguz umeanza leo????mungu kukunyima akili za darasan hakumaanisha hata maish ufail pia huo n udhembe wako bnafs hata ustafe mchaw,


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…