Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Nashangaa Zitto kushindwa kubainisha mfumo wa serikali anaoupendekeza
 
Zitto: Tuepuke lugha za vitisho, tuwe na maridhiano!
 
Zitto kamaliza kila kitu safi Sana my zitto umeongea kwa kujenga hoja vizuri name umeeleweka
 
Nimevutiwa na mchango wa Zitto

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Naam Zitto Kabwe, muungano ni imani....idadi ya serikali peke yake haitoshi kulinda au kuvunja muungano...turidhiane kupata aina ya muungano tunaoutaka...bila maridhiano, kama kuna upande haujaridhika muungano utavunjika tu, uwe ni wa serikali moja, mbili au tatu.
 
1. Nampongeza Zitto,
2. Ameongea kisayansi
3. Ameongea kwa Busara za hali ya juu
4. Ameongea kwa lengo la kujenga
Ubarikiwe kijana.
 
Ameongea nini? Ungetupa summary angalau...
 
Kwani kipofu hawezi kuwa mwanachama wa CCM? Mkuu, kama swala ni kuwakilisha makundi ya kijamii, mbona Mwalimu Ezekiel Oluoch ni mfuasi na anatetea matakwa ya CHADEMA?

unafiki wako unaanza kujidhihirisha tena.
Kumbe Mpanju ni mwanachama wa CCM.!?
SASA KWA NINI YEYE AWASEMEE WALEMAVU WENGINE KUHUSU ILANI YA CHAMA CHAKE BILA KUZINGATIA KWAMBA KUNA WALEMAVU WENGINA HATA HIVYO VYAMA HAWAJUI SERA, BENDERA WALA MLENGO WAKE.
 
Wakuu,
Je naweza tune station gani niweze pata bunge live sasa hivi.Najaribu kwa neema radio ipo ila inasikika kwa taabu mno.Hata kama ni through internet nayo ni poa.
WAPO FM 98.1 MHz
Sauti ya Zanzibar 585 MHz AM Band
 
Zitto lazima tuwe na . muungano unaoeleweka ambao pande zote zitaridhia.
Tukiwa na muungano ambao upande 1 hauridhiki utavunjika tu na gharama yake ya kuulibda ni kubwa
 
Siku mkivunja muungano na mtatoka mtaelekea kwenu. Hapa anawananga Wapemba. Haya maneno sijayafurahia kabisa. Kinachoonekana kuna vita kubwa kati ya watu wa Pemba na Unguja

kumbe muda mwingine unakuwa na akili za ziada eehh.!
 
Asante sana Zitto Kabwe, cku nikiamua kuwa mwanasiasa wewe ndo utakuwa role model (kwa hapa Tanzania) toka majadiliano yameanza Zitto ndo kaongea kile wajumbe wanachotakiwa kukiongelea!
 
Zitto kajenga hoja mujatabu, hadi Kingunge kampigia makofi.
 
Huyu mama anabwabwaja bwabwaja hapa.

Ye kesha pata maji wake kule apumzike.

Mbona yu safi tu ama bado anahitajia kitu gani tena...!?
 
Zitto karifurahisha na point ya kuwa muundo wowote unaweza kuvunja muungano Hivyo S3 itavunja muungano si hoja.
 
Back
Top Bottom