Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We punguani mbona umehamaki kiasi hicho?Wewe hayawani ongea mambo ya mashetani wrnzako mambo ya wakristo tuachie wenyewe, usidhani sisi ni tawi la mashetani ya ccm kama ilivyo bakwata.
Nasikia hata humu jf kuna watu wamejitoa kwenye hii thread.
Nilijua tu lazima watu waweke mpira kwapani.
Hakika mkuu. Hawa Mawakala wa Shetani bora wameondokaHivi sasa bunge litaendeshwa kwa staha,stara na lugha ya heshima, sio kama tulivyozoea matusi na dharau
Uma gani unaofuata watu wenye kufanya fujo kila siku pengine ni umma ya tengeru na machame.Tunawapongeza sana ukawa...hapo ndipo wamesimama upande wa umma...tanganyika itapata uhuru tu...intarahamwe watashindwa.
Wehu wenzio wametoka nje ya bunge wewe mwehu mwenzao unafanya nn humu jukwaani?Wewe hayawani ongea mambo ya mashetani wrnzako mambo ya wakristo tuachie wenyewe, usidhani sisi ni tawi la mashetani ya ccm kama ilivyo bakwata.
Mkuu UKAWA ni combination...au unless hujui UKAWA inaundwaje!
Mbona yeye amepita misikitini kueneza sumu yake ya serikali Tatu? Analalama nini?
Wewe leo umeingia humu?Kama mna ubavu endeleeni basi kutunga katiba mnayotaka hiyo ya serikali mbili, halafu mtasema hayo maoni mmeyatoa wapi?