Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

kilichobakia ni TATIZO kuu ambalo ni TUME HURU YA UCHAGUZI. Hii TUME iliyopo sasa ni kundi la ccm na ndio limefanya matatizo kuwa makubwa mno ktk CHAGUZI zote mbazo ccm imelazimishia ushindi ikishirikina na TUME, na HIVYO kuip ccm nguvu ktk bunge kujihalalishia wingi na kujipitishia maamuzi na yaliyojaa kimagumashi na ufidhuli.

tunaomba UKAWA wasimame imara ili kuvunjwa TUME ya uchaguzi ili kupata TUME huru n itakayosimma KURA za moni kama tutafika hatua hiyo. Muda Ndio sasa...la sivyo hata ikitokea KURA za maoni, matatizo ya kuchakachua kwa kupitia TUME hii upo pal pale...Katiba Mpya ya HAKI itakwama.

nawasilisha.[/QUOTE]plz some body post the speech of Tundu Lisu about nyerere
 
....

.....Udhaifu wa Akili Kichwani...
(UWAKI) ni Hatari kwa Afya ya Taifa letu !!!


attachment.php

Watu kama hawa utawapa elimu gani ili waiongoze Tanganyika?....Useless!

CCM group is simply an having completely expired consciousness...
 
Wajinga wanafikiria kurudisha posho!
Wenye akili wanafikiria kuheshimiwa kwa maoni ya wananchi...
 
Kama uko ccm jaribu kuwa unawapa shule wana ccm ukianzia na yule kichwa cha nazi mpaka ukoo wote wa panya waelimike waache mawazo mgando, wajitahidi kutoa huduma za jamii kwa kiwango stahili. Kwa ninavyokufahamu mkuu utaweza kuwabadilisha ndani ya muda mfupi lakini endapo tu wewe ni mwana ccm pure.

Hahahaha, upo kaka??
Unajua sisi sisiem akili yetu ni finyu na ndogo na hatutaki kutatua tatizo lililoko mbele yetu zaidi ya kuweka matumbo yetu mbele.
Hapa katiba hamna kama ikipatikana tunaweza ipata 2017 otherwise kuna kichapo kitatokea
 
Watadanganywa wazanzibar wa ccm hapa Dodoma lakini wakirudi Zanzibar utawaka moto wa usaliti mpaka wataona bora wangekubali serikali tatu.
 
Ccm wameshinda kwa hoja za matusi .nilikuwa najiuliza sana ni jinsi gani Ukawa wanavyoweza kuvumilia matusi,kebehi..matambo,dhihaka .toka asubuhi mpaka jioni ,kwa kweli nimewadharua sana aina ya viongozi ndani ya ccm.


I wish kuwauliza walikuwa wanasubiri nini???!!!
Indicators gani zimekuwa clear sasa na sio mwanzo kuwa hakuna la maana walilolifanya kwa kukaa muda wote huu???!!!!

Dhamira za wanasiasa ni mtihani mgumu sana!!!!
 
Ndio msimamie katika mnalotaka wenyewe manake na mkijitoa msirudi tena, hii sio mara ya kwanza kujitoa uzuri wake presidaa ndio kachagua achague wengine kuziba pengo lao maisha yaendelee muda wote waliokaa bungeni hakuna la maana walilofanya na walipaswa kuwa wameshatoka kitambo.

Tume huru mtaipataje kama tabia yenu ni kususasusa.


Wadau,
kitendo cha UKAWA KUJITOA ktk majadiliano ya Katiba ya kuhalalisha ufidhuli wa Interahamwe - ccm na kundi Lao la 201 ni jambo la kishujaa sana na kinaungwa mkono na kitaungw mkono na umma WOTE.

kilichobakia ni TATIZO kuu ambalo ni TUME HURU YA UCHAGUZI. Hii TUME iliyopo sasa ni kundi la ccm na ndio limefanya matatizo kuwa makubwa mno ktk CHAGUZI zote mbazo ccm imelazimishia ushindi ikishirikina na TUME, na HIVYO kuip ccm nguvu ktk bunge kujihalalishia wingi na kujipitishia maamuzi na yaliyojaa kimagumashi na ufidhuli.

tunaomba UKAWA wasimame imara ili kuvunjwa TUME ya uchaguzi ili kupata TUME huru n itakayosimma KURA za moni kama tutafika hatua hiyo. Muda Ndio sasa...la sivyo hata ikitokea KURA za maoni, matatizo ya kuchakachua kwa kupitia TUME hii upo pal pale...Katiba Mpya ya HAKI itakwama.

nawasilisha.
 
Kichaa n kichaa tu hata umvishe suti ataivua na kubaki mtupu,ndo kitu unachokionesha hapa,umeshindwa jibu hoja povu limekutoka,ukitaja mawakala wa shetani uspomtaja Tundu lissu naww utakuwa agent wa Shetani pia....kama posho wamechukua za mpaka tr 31 kwann wasingelitoka jana,?kwann iwe leo huo ubaguz umeanza leo????mungu kukunyima akili za darasan hakumaanisha hata maish ufail pia huo n udhembe wako bnafs hata ustafe mchaw,

Sent from my iPhone using JamiiForums.


....utumwa wa fikra kazini !!!!


attachment.php
 
Tangu wametoka bunge limekuwa na nidhamu ya hali ya juu kumbe chadema na cuf ndiyo tatizo wakafie mbali kabisa tumechoka na vurugu zao.
 
Na posho yote from day 1 warudishe kwa hasira, manake wabongo wanagomeaga vitu visivyowazuru.

I would suggest vyama vya upinzania visiishie hapa, viungane viunde chama kikubwa chenye nguvu
 
Back
Top Bottom