Tangu wametoka bunge limekuwa na nidhamu ya hali ya juu kumbe chadema na cuf ndiyo tatizo wakafie mbali kabisa tumechoka na vurugu zao.
pole sana. Watu kama nyie mnaoshikiwa akili ndio hufa maskini. Hamna tofauti na toilet paper.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu wametoka bunge limekuwa na nidhamu ya hali ya juu kumbe chadema na cuf ndiyo tatizo wakafie mbali kabisa tumechoka na vurugu zao.
Sema wewe mwananchi sio sisi wananchi ,,acha unafiki nduku wewe,kwani wewe ndio msemaji wa wananchi????Hivi hawa watu wanaojita UKAWA wanafikilia kweli vichwani mwao,wananchi mpaka saizi hatujawaelewa bado ni kitu gani hasa kilicho wafanya msuse bunge kwa sababu Mh Lipumba hoja alizotoa mimi naona kama ni za kitoto eti anasema wamechoka kubaguliwa , kunyanyaswa na kutukanwa wanasahau kujiuliza mbona na wao walivyo kuwa wanawatukana wenzao walivumilia mfano mzuri ni MH TUNDULISU alikuwa anatoa maneno mabaya dhidi ya upande wa wapili mbona hatukuona wanasusa bunge hata wao yalikuwa yanawauma lakini walivumilia .UKAWA kaeni mjitafakari na mjichunguze wenyewe kwanza na mjisahihishe najua mtarudi mbungeni hizo ni mbwembwe tu,UKAWA jiulizeni mmetumia kiasi gani cha kodi ya wananchi kwa siku mlizo kaa eti leo mtoka bungeni kizembezembe wananchi hatujawaelewa mpaka saizi rudini bungeni mkashindane kwa hoja ndio maana jamii inawona kama mna lenu jambo .Nawasilisha
Sitta ----- sana na lisauti lake kama kabanwa na mlango
Hahahaha, upo kaka??
Unajua sisi sisiem akili yetu ni finyu na ndogo na hatutaki kutatua tatizo lililoko mbele yetu zaidi ya kuweka matumbo yetu mbele.
Hapa katiba hamna kama ikipatikana tunaweza ipata 2017 otherwise kuna kichapo kitatokea
Asilimia 95 ya 201 ni majangili kutoka ccm
Laana ya NYERERE na KARUME kwa matusi yenu kwao imewarudieni
Ni ujinga kwa watanzania kufanya ufidhuli huu wa kumpigia binadamu mwenzake magoti..
Lipumba na uzee wote anaonesha uchanga wa mawazo ndiyo maana cuf inakufa kifo cha mende bora arudi tabora akalime tumbaku tu.
Haoooooooooo wametokomea walifata posho
Ha Ha Haaahhhh, Interahamweeeeee Naona Wamebaki Bungeni Kuendeleza Sera Yao Ya Serikali Mbili Bila Hoja Za Msingi. Its So Funny With This Bongo Politics !!!!
By The Way Tangu Bunge Limeanza Na Huu Mjadala Wa Ibara Ya Kwanza Na Ya Sita, Kinachofanyika Ni Kurudia Hoja Zile Zile Za Uoga Wa Kuvunjika Kwa Muungano, Uongo Wa Gharama Halisi Za Kuendesha Serikali Tatu, Matusi Kwa Jaji Warioba Na Tume Yake, Sera Za Kibaguzi Zaidi Zikiwahusu Wapemba Na Kuattack Personality Za Watu Badala Ya Kujenga Hoja.
Kwa Hali Inavyoendelea Inaonesha Dhahiri Shairi Kuwa Waumini Wa Serikali Mbili Wengi Wanafuata Mkumbo Ndio Maana Katika Kumi Wanaosimama Tisa Watarudia Kile Kile Na Zaidi Wataongeza Ubaguzi Na Matusi Mapya Kitu Ambacho Hakitatupeleka Katika Kupata Katiba Nzuri Ya Wananchi.
Mm Binafsi Mtazamo Wangu Ni Muundo Wa Muungano Wenye Serikali Ya Muungano Ikiongozwa Na Raisi Wa Muungano Huku Nchi Shiriki Kila Moja Ikiongozwa Na Waziri Mkuu Wake Atakeyeshughulika Na Masuala Yote Yasiyo Ya Muungano Nchini Mwake.