Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tuambieni ni kwa nini wabunge wamekataa kumsikiliza warioba?bado tupo maaofisini wenzenu
Kuna mdudu ananyemelea Tanzania na amejificha ndani ya upinzani,
Hii ni kali sasa na cjui tunaenda wapi laki tatu zinaliwa buree tuu bora tusitishe hili la katiba maana hatukuwa tumejiandaa kisaikolojia na suala hili
Zito leo naona kapiga nguo nyeupe kabisa juu mpaka chini,
wajumbe kwa ujumla wanaendelea kuingia kwa kasi ngoja tusikie toka kwa warioba leo.
tatizo inaonekana ni wajumbe kutoka vyama vya chadema,cuf,nccr na wale wengine wa upinzani na makundi ya kiraia hawakubaliani na mabadiliko ya kanuni yaliyofanywa na mwenyekiti yanayomtaka jaji warioba kusoma rasmu ya pili ya katiba kabla ya rais kuhutubia bunge hilo.Kwa wao wanataka kwanza rais ahutubie bunge hilo ndipo jaji warioba apewe wasaa wa kuwasilisha rasmu ya katiba bungeni.
Vurugu hizi nilijua zitatokea kwani UKAWA tangu mchana walijipanga kuhakikisha Warioba hawasilishi kabla ya Rais kufungua ! Nimefurahi sana leo ! At least machungu ya Kalenga yamepungua kidogo, ingawa bado yapo !
We bata naona unajoifunza kuogelea kwenye bwawa la kiswahili
Nimeona Jaji Warioba ametolewa nje chini ya escort ya mgambo wa bunge lakini ameoneka amesononeka sana kwani inaonekana hotuba yake imekataliwa sijajua waliompinga ni kundi gani????
Wabunge wanataka jaji warioba apewe muda zaidi na sio saa mbili kama alivyopendekeza sitta na mkumbuke jaji warioba ndio ana maoni mengi ya wananchi kumpa masaa mawili hataweza kuwasilisha Yale yote alikutana nayo wakati wa maoni sita anadhani hili ni bunge la ccm Mzee akili hamnazo
Mzee wa viwango kukikoni?
Ohoooo! Kumbe hoja yao ni rais ahutubie kwanza! Mimi nilidhani asubuhi waliridhiana na Kiti baada ya maelezo aliyoyatoa kabla ya kuliahirisha Bunge. Kumbe waliburuzwa! Hapo patamu, Sita akae sawa hata kwa maswala yenye utata.
Nahisi Warioba kafurahi.