Mbona unaongea vitu vya ajabu ajabu halafu wakati huo huo unajiita ni mmoja wapo wa wabunge la katiba !
Nyie mmetumia wiki tatu kutengeneza kanuni, halafu anakuja mpuuzi mmoja anavunja kanuni wazi wazi mchana kweupe, na watu ambao wapo responsible wanapomzuia asifnye hivyo, eti unadai wana agenda ya siri.....
Ndugu yangu, mbona huu ni mwanzo tu......mambo baaaaado sana ! Nakuhakikishia tutapata katiba tunayotaka wananchi wa Tz. Hatutakubali kabisa katiba ya CCM !
Nyie mmetumia wiki tatu kutengeneza kanuni, halafu anakuja mpuuzi mmoja anavunja kanuni wazi wazi mchana kweupe, na watu ambao wapo responsible wanapomzuia asifnye hivyo, eti unadai wana agenda ya siri.....
Ndugu yangu, mbona huu ni mwanzo tu......mambo baaaaado sana ! Nakuhakikishia tutapata katiba tunayotaka wananchi wa Tz. Hatutakubali kabisa katiba ya CCM !
Naona hawa wajumbe toka vyama vya siasa hasa chadema na cuf wako na agenda yao ambayo bado hatuijui kabisa sielewi kwa nini wanataka rais aanze kuhutubia kwani warioba ni mkuu kuliko rais.