Daata
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 4,673
- 1,875
Ni kweli bunge limeahirishwa mpaka watakapotangaziwa baada ya jaji Warioba kukaribishwa kuwasilisha rasimu ya katiba lakini wabunge walikuwa wanagonga meza zao kuashiria kutoafiki kuwasilishwa huko, pia nimewasikia wengine wakisema kanuni zifuatwe.