Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,438
- 826
Huyu sita ni ccm damu sina imani naye kabisa
Kweli, hata mimi nina shaka naye. Anaogopa kutengwa na chama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu sita ni ccm damu sina imani naye kabisa
Mkuu mwanzoni na mimi niliwalaumu ila nimemaliza kuongea na jamaa wawili walokuwa mjengoni (Siyo kutoka kambi ya upinzani) wamenambia kuwa ubabe wa Mzee Six ndo umeyasababisha haya. Kimsingi amekiuka kanuni kwa ubabe ndo maana yametokea haya. Kanuni za bunge hili maalum zinamtaka rais ahutubie na kufungua rasmi hili bunge maalum then ndo Mwenyekiti wa Tume ya marekebisho ya katiba akabidhi na kutoa hotuba kwa bunge hili maalum. Sasa Mzee wa viwango kakiuka hili bila kuwashawishi wajumbe na matokeo yake ndo haya..... 189,300,000 Tshs kwa leo tu zimepukutika bila kazi ya maana!!!!La Mbowe, Mtikila, Lisu, Lusinde n.k ndiyo waliokuwa wanaongoza kufanya fujo.
Huyuhuyu sita watu walisema anafaa leo tena wanasema vingine.
mkuu hoja yako nzuri lakini umeiweka si mahali pake!
Hapa ni kanuni zimebutuliwa ili warioba amtangulie huyu mzaramo ilhali uhalisia anatakiwa azindue ,na warioba awasilishe katiba mpira uanze
kwani kanuni si ilitenguliwa leo asubuhi?
hapa lazima kanuni Zifwatwe siyo mtu anajiamulia kufanya anachofanya kama mambo ya familia yake
Mkuu mwanzoni na mimi niliwalaumu ila nimemaliza kuongea na jamaa wawili walokuwa mjengoni (Siyo kutoka kambi ya upinzani) wamenambia kuwa ubabe wa Mzee Six ndo umeyasababisha haya. Kimsingi amekiuka kanuni kwa ubabe ndo maana yametokea haya. Kanuni za bunge hili maalum zinamtaka rais ahutubie na kufungua rasmi hili bunge maalum then ndo Mwenyekiti wa Tume ya marekebisho ya katiba akabidhi na kutoa hotuba kwa bunge hili maalum. Sasa Mzee wa viwango kakiuka hili bila kuwashawishi wajumbe na matokeo yake ndo haya..... 189,300,000 Tshs kwa leo tu zimepukutika bila kazi ya maana!!!!
Inaumiza sana!!!
Tukiwa shule walimu walitumia adhabu ya viboko kudhibiti kelele na fujo darasani sasa kwa kuwa wabunge wa bunge la katiba wamekosa nidhamu kabisa bila shaka adhabu ya viboko inawafaa sana kwani hawamuheshimu kiongozi wa bunge hilo.
star tv nao bure kabisa siku hizi ka nokia ya tochi
CCM ni baba wa demokrasia ndiye iliyoanzisha mchakato wa KATIBA, wapinzani mnataka kuharibu nia nzuri ya CCM kutuletea KATIBA nzuri
Kweli, hata mimi nina shaka naye. Anaogopa kutengwa na chama.
CCM ni baba wa demokrasia ndiye iliyoanzisha mchakato wa KATIBA, wapinzani mnataka kuharibu nia nzuri ya CCM kutuletea KATIBA nzuri
Weee ujielewi kabisa na kujitambua....
Mkuu ndo utakapojua kuwa watu ni vigeugeu