Yanayojiri Bungeni Dodoma leo March 08, 2014

Hili suala la katiba mpya nadhani CCM hawakuwa na nia dhati ya kuifanyia kazi kwa sasa... Wajumbe warudishwe makwao tuendelee na katiba iliyopo. Nchi hii kila mtu achukue mbao yake.
 
kanuni ya 37 na 38 hazitajadiliwa, soooooooo sad kodi zetuuuuuuu
 
Kwa sasa anaongea chairman, tbc1 wapo live!

Tayari, kanuni ya 37 na 38 ni kiporo...ni za kuhusu KURA YA SIRI AU WAZI. kamati ya mashauriano inaenda tena kuzijadili hadi wakati mwingine.

Bunge hili linamaliza KODI ZA WANANCHI
 
Tayari, kanuni ya 37 na 38 ni kiporo...ni za kuhusu KURA YA SIRI AU WAZI. kamati ya mashauriano inaenda tena kuzijadili hadi wakati mwingine.

Bunge hili linamaliza KODI ZA WANANCHI

Hatari sana wajumbe hawa wa ccm. . . . . . .wananchi wanapaswa kufanya maamuzi magumu!
 
Mwenyekiti ameroa ufafanuzi kuwa vifungu vya 37 na 38 bado vinahitaji mashauriano zaidi. Kutokana na hali hiyo ametangaza kuwa wabunge watapitisha vifungu vya kuanzia vya 32 hadi vya 43 isipokuwa vya 37 na 38. Pia nyongeza ya vifungu vya kanuni itapitiwa
 

Attachments

  • image.jpg
    626.7 KB · Views: 121
Mbona nyie watanzania mkoje unasikitikia kodi ni kiac gani unakatwa weka bayana. Mbona unapokuwa kwenye michepuko mbona wanao hawasikitiki. Unafikiri hao wabunge wanacheza, na huo umbumbu wako. Jadili mambo ya msingi
 
Wakuu hili bunge livunjiliwe mbali...limejaa wanasiasa ambao wengi wao ni vichwa maji!!
 

Leo j2 umevaa roho ya uzalendo hasa! big up sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…