Yanayojiri EU na Unabii wa Sanamu ya Nebukadneza

Yanayojiri EU na Unabii wa Sanamu ya Nebukadneza

Mtazamo wa ndani kabisa wa kitabu cha Daniel ulichokinukuu hapa ambao mimi ninaufahamu ni huu.

Kuzimu iliyogawanyika iliyo na nguvu kubwa sana dhidi ya uzao wa mwanadamu itajitahidi tena kurudi kwa mabavu yote kuitawala dunia kwa kujichanganya na uzao wa mwanadamu i.e kunyofoa roho ya mwanadamu na pepo(shetani) kuchukua mwili wake ili autumie(hii hufanyika sana kwa wachawi wanaofanya ulozi wa kunyofoa kivuli cha mtu)

Na kwa sasa kitakachofanyika ni mashetani yatajiingiza kwenye uzao wa mwanadamu na kuzaa watu ambao watakuwa nusu mtu nusu mashetani, kama ilivyokuwa wakati wa Nuhu.

Kwa kuwa roho ya mashetani haiwezi kukaa na mwili wa mwanadamu na yakautawala normally, hapo ndipo chuma kisivyoweza kujichanganya na udongo.

Mungu atakasirika baada ya kuona mashetani wamejiingiza katika uzao wa wanadamu na ataamua kulituma jiwe lisilochongwa kwa mikono ya mwanadamu na kuvunja kabisa zama hizo.

Hili ni fumbo kuu.
 
Hayo yote yamo katika vitabu vya unabii, na kugawanyika kwa mataifa makubwa kama haya ni udhihirisho tosha kuwa mifarakano ya kisiasa na kidiplomasia ni moja ya maanguko makubwa ya falme za kidunia, kilichoandikwa kwa utabiri na unabii hakipingiki kutukia.

Wengi watapinga kwa kuwa hawajaruhusu ufahamu wa kiroho uwaongoze.
 
"Kuna zile senema za madubwana flani mnayaita maZOMBI huwa yanafufuka kutokana na dhima nzima ya screen play scene ya uhusika".

Hicho ndicho kimekukuta (mavi ya kuku -kutokana na maana ya jina lako kikwetu Otorong'ong'o ) kwenye maswali yako hapa chini [emoji32] !!
Hivi unajua dhima ya vitabu hivi vyenye masimulizi ya ki-epokaliptiki....?? Unajua chimbuko lake..? Au unabwabwaja tu hapa...
 
Hayo yote yamo katika vitabu vya unabii, na kugawanyika kwa mataifa makubwa kama haya ni udhihirisho tosha kuwa mifarakano ya kisiasa na kidiplomasia ni moja ya maanguko makubwa ya falme za kidunia, kilichoandikwa kwa utabiri na unabii hakipingiki kutukia.

Wengi watapinga kwa kuwa hawajaruhusu ufahamu wa kiroho uwaongoze.
Ufahamu wa kiroho upi huo..??
 
Habari za jioni wana jamvi,

Mimi sio mwandishi mzuri, ila ninachokiona, kusikia na kutizama duniani ni dhahiri kwamba Unabii wa Daniel sura ya 2 unatimia.

Wakristo wengi wanakifahamu kitabu cha Daniel hasa sura ya pili nzima inaongelea nini... Kwa kifupi nanukuu mistari hii kisha connect dots utaelewa.

Daniel 2:41 Na kama vile ulivyoziona hizo nyayo za miguu na vidole vyake, kuwa nusu udongo wa mfinyanzi, na nusu chuma, ufalme ule utakuwa ufalme uliogawanyika; lakini ndani yake zitakuwako nguvu za chuma, kama vile ulivyoona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope. 2:42 Na kama vidole vya zile nyayo vilikuwa nusu chuma na nusu udongo, kadhalika ufalme ule utakuwa nusu yake una nguvu, na nusu yake umevunjika. 2:43 Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.

Kwa atakayeona haina mantiki apite tu. Ni mtazamo wangu binafsi.

CL
Issue ya UK kujitoa EU mbona wala haina uhusiano wowote na hizo hadithi unazooanisha??
UK waliweka sababu zao wazi kabisa
 
Hekaya za Ellen G White.....

Hivi kweli inamaana hujui sababu za UK kujitoa EU...Punguzeni kudanganyana kwenye lessoni..
Kumbe hizi verses/doctrine ni za mtu siyo za ....
9ffa66b7e25e7b181ca6a8671069899d.jpg
 
Mtazamo wa ndani kabisa wa kitabu cha Daniel ulichokinukuu hapa ambao mimi ninaufahamu ni huu.

Kuzimu iliyogawanyika iliyo na nguvu kubwa sana dhidi ya uzao wa mwanadamu itajitahidi tena kurudi kwa mabavu yote kuitawala dunia kwa kujichanganya na uzao wa mwanadamu i.e kunyofoa roho ya mwanadamu na pepo(shetani) kuchukua mwili wake ili autumie(hii hufanyika sana kwa wachawi wanaofanya ulozi wa kunyofoa kivuli cha mtu)

Na kwa sasa kitakachofanyika ni mashetani yatajiingiza kwenye uzao wa mwanadamu na kuzaa watu ambao watakuwa nusu mtu nusu mashetani, kama ilivyokuwa wakati wa Nuhu.

Kwa kuwa roho ya mashetani haiwezi kukaa na mwili wa mwanadamu na yakautawala normally, hapo ndipo chuma kisivyoweza kujichanganya na udongo.

Mungu atakasirika baada ya kuona mashetani wamejiingiza katika uzao wa wanadamu na ataamua kulituma jiwe lisilochongwa kwa mikono ya mwanadamu na kuvunja kabisa zama hizo.

Hili ni fumbo kuu.
Umejitahidi [emoji122] But when u earnestly allow the Holy Spirit to dwell in u He'll ready u to the truth,full meaning& understanding of the Bible Prophesies . God bless u
 
Back
Top Bottom