Yanayojiri EU na Unabii wa Sanamu ya Nebukadneza

Mtazamo wa ndani kabisa wa kitabu cha Daniel ulichokinukuu hapa ambao mimi ninaufahamu ni huu.

Kuzimu iliyogawanyika iliyo na nguvu kubwa sana dhidi ya uzao wa mwanadamu itajitahidi tena kurudi kwa mabavu yote kuitawala dunia kwa kujichanganya na uzao wa mwanadamu i.e kunyofoa roho ya mwanadamu na pepo(shetani) kuchukua mwili wake ili autumie(hii hufanyika sana kwa wachawi wanaofanya ulozi wa kunyofoa kivuli cha mtu)

Na kwa sasa kitakachofanyika ni mashetani yatajiingiza kwenye uzao wa mwanadamu na kuzaa watu ambao watakuwa nusu mtu nusu mashetani, kama ilivyokuwa wakati wa Nuhu.

Kwa kuwa roho ya mashetani haiwezi kukaa na mwili wa mwanadamu na yakautawala normally, hapo ndipo chuma kisivyoweza kujichanganya na udongo.

Mungu atakasirika baada ya kuona mashetani wamejiingiza katika uzao wa wanadamu na ataamua kulituma jiwe lisilochongwa kwa mikono ya mwanadamu na kuvunja kabisa zama hizo.

Hili ni fumbo kuu.
 
Hayo yote yamo katika vitabu vya unabii, na kugawanyika kwa mataifa makubwa kama haya ni udhihirisho tosha kuwa mifarakano ya kisiasa na kidiplomasia ni moja ya maanguko makubwa ya falme za kidunia, kilichoandikwa kwa utabiri na unabii hakipingiki kutukia.

Wengi watapinga kwa kuwa hawajaruhusu ufahamu wa kiroho uwaongoze.
 
"Kuna zile senema za madubwana flani mnayaita maZOMBI huwa yanafufuka kutokana na dhima nzima ya screen play scene ya uhusika".

Hicho ndicho kimekukuta (mavi ya kuku -kutokana na maana ya jina lako kikwetu Otorong'ong'o ) kwenye maswali yako hapa chini [emoji32] !!
Hivi unajua dhima ya vitabu hivi vyenye masimulizi ya ki-epokaliptiki....?? Unajua chimbuko lake..? Au unabwabwaja tu hapa...
 
Ufahamu wa kiroho upi huo..??
 
Issue ya UK kujitoa EU mbona wala haina uhusiano wowote na hizo hadithi unazooanisha??
UK waliweka sababu zao wazi kabisa
 
Umejitahidi [emoji122] But when u earnestly allow the Holy Spirit to dwell in u He'll ready u to the truth,full meaning& understanding of the Bible Prophesies . God bless u
 
Logiq behind few there will understand
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…