Yanayojiri Instagram baada ya kutoka iyena [emoji39]

Hahahahah watu humu wanajifanyaga malaika
Yaaanii limekuja mishipa ya shingo imemsimama utafikiri ye ndo hajawai kuzini kumbe mbwa mchafu me nna nafuu.......eti ananitishia kurogwa jinga kweli anampanikia mtu hamjui ....what if me nimesema kufurahisha genge na story ziendelee ye linakuja kupanic
 
You can take a man out of uswahilini but you can't take uswahilini out of a man.
 
Wakati Dada anatoa povu la uchagu kaka anashuka mpaka uvinza kigomaaa mwisho wa reliiiiiiiiiiii, interesting.......
 
Binafsi sijaona sababu ya kumwambia mwenzio ana IQ ndogo......yani kuunganisha hizo unazo ziita dots ndio ni sifa ya kuwa na iq kubwa? Hapo mpuuzi yupo na hiyo video imeshutiwa kabla hata ya zari na Diamond kuvunja mahusiano.....
 
Harafu eti kuna mtu anajaribu kumlinganisha Kiba na Vitu vya kijinga!
 
Harafu eti kuna mtu anajaribu kumlinganisha Kiba na Vitu vya kijinga!
Mvumo wa radio imefika wapi?

1. Clouds sasa waniapiga Mara moja kwa siku, siku nyingine wanaikaushia

2. Bodaboda na ma dj wa baa za mtaani wameikaushia...

3. Insta ndo kabisaa, yeye mwenyewe kaacha kuipost... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

4. Kuna ile trend nyimbo ikitoka, wananzengo hujirecord wakiicheza au kuimba na kupost Insta kuonyesha support na vile wameikubali, kwa mvumo wa radi hio kitu imebuma...

5. TV stations nazo naona kama wameichunia mvumo wa radi..

6. YouTube mpaka sasa mvumo wa radio INA views million mbili na ushee ndani ya week sijui tatu.. Sijui NNE.. Yani imekosa mvuto.....

Kifupi, mvumo wa radi imekutana na ways wa earth Insta, YouTube, mtaani na kwenye media..
 
Hivi alichokifanya Hamisa Ni kizuri? Hakuna asiyejua kwamba Dai alikuwa na mtu yeye akaingilia kati, angempa nafasi Dai na familia yake wajue njia gani watumie kumpa taarifa Zari yeye kaanza vituko Mara kaacha herini na nk. Nini Sasa hiyo? Kajifungua familia imepanga mazuri tu wakamwone kwa Siri yeye anawaita shilawadu huoni huo ni uchonganishi na uswahili? Bado Dai na familia yake wamechukia badala wamalize taratibu anakimbilia mahakamani anadai matunzo ya mtoto, kwani alikuwa hapewi matunzo? Hivi huyu kunguru ni wa kuweka ndani? Huyu bint si bure kipo alichokifanya kwa Dai mbona hivyo vitimbwi hamfanyii aliyezaa naye mwanzo? Huyu akiolewa na Dai tu hakai atafanya vituko aachike akimbilie mahakamani wagawane Mali ndicho anachokitaka, mapenzi kwa Dai hana kabisa, ati watu wanamuona wivu kazaa na matajiri kweli [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Umeshawahi kusoma kisa cha "mfalme mwenye maskio marefu"? ndo hii sasa umetafuta pa kutolea siri ukaona jf ndo pazuri huna kifua...tegemea kuaibika sasa siku si nyingi...
 
Angezaa na mengi sijui ingekuwaje sasa???
 
Angezaa na mengi sijui ingekuwaje sasa???
Angejipa ukurugenzi wa TV ili kila siku wamuone katika Luninga na Mtoto wake ili mumtathmini hata kwa huyu dogo subiri uone [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Na haya ndio madhara ya kulelewa na Single mother. Mtoto wa kiume aliyelelewa na mama akikua atafanya anachopenda mama. Mwisho wa siku mwanamke atakayekuja kuolewa na Chibu ajiandae kupendwa na Bi Sandra na si Diamond.

Wanawake wengi hatuoni hii effect ya kulea watoto wa kiume pekee yetu kwa sababu tu tumefarakana na mzazi mwenza tumekuwa wepesi sana kuwatenga watoto na baba zao lakini matokeo ndio kama hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…