Yanayojiri Instagram baada ya kutoka iyena [emoji39]

Yanayojiri Instagram baada ya kutoka iyena [emoji39]

Shida kanapenda kuonekanaaa ndo maana anakosa vyote......Leo hii Mimi ni sidechick wa mkubw mmoja wilayan kwetu ...ananilipia ada ya chuo na kila kitu kinachohusu maisha yangu lkn hata siku moja sijawahi kujitia kimbelembele cha kumjua hata huyo bi mkubwaaa....tunatakiwa kujua kula na vipofu
Huoni hata aibu kuzini.Huna moyo wa majuto weye hakika dunia ita stack miaka si Mingi
 
hii ni business.
. wanacheza na akili za watanzania tu..

na wanajua tunapenda umbea sana... ndio wanautengeneza umbea...

zari ni business lady, hamisa nae amefundishwa vya kufanya.. na analipwa pia, wema nae analipwa pia,

esma nae anaambiwa cha kufanya.. na mama dangote pia anaambiwa cha kufanya..

mnajua kwa nini kina kardashians ni matajiri...

wasafi wanaelekea huko kwa tv reality show
Safi waingize pesa tu
 
Hahahahahah eti unapanic .....utakua kichaa wewe unampanikia mtu humfahamu?? Kweli bangi mbaya ......
Toka lini mvuta bangi akapanic????
hatujuani humu ndio maana tunaelezana bila aibu, kuna mwenzio alivaa chu.pi kichwani anakimbia uchi kitaani mpaka leo kwa issue kama zako
 
Hanioni bhana ....me wala simsumbui bi mkubwa hata jina lake silijui na sitaki kulijua tuuu na wala huyo Mr sijawahi kumuuliza chochote kuhusu bi mkubwa .....me nnachosubir mwisho wa mwez nione text ya nmb mobile kwamba nimepokea sh ngapi basi ....hayo mengine wamalizane wenyewe

Hahaaa. Hamisa hawezi kujiongeza. Yeye angeendelea na u-side chick wake kimya kimya tu haya yote yasingemkuta.
 
Hahaaa. Hamisa hawezi kujiongeza. Yeye angeendelea na u-side chick wake kimya kimya tu haya yote yasingemkuta.
Kuna vitu vingine ukijifanya mjuaji ndo unaambulia maumivu.....kwani angekaa kimya angepungukiwa nini
 
Hayo ya kumpenda mwanaume na kumsema Mama yake huu ya pichu yake

Mie 😱
 
Kuna vitu vingine ukijifanya mjuaji ndo unaambulia maumivu.....kwani angekaa kimya angepungukiwa nini
Hamisa yule kichwani hamnazo.. Hayo majibu yake ya leo wala hayakuwa na umuhimu wowote. Huwezi kumtukana mama mkwe (hata kama yeye kaanza kukutukana) halafu ukategemea ndoa iwepo au mahusiano yawe mazuri. Hajafunzwa kunyamaza yule binti.
Mi mama mkwe wangu alikuwa analianzisha makusudi ili umjibu aseme una mdomo/ dharau. Nilivyomuelewa tu, nikajua jinsi ya ku deal naye. Akilianzisha tu, mimi huyo nabeba kipochi, hi heels miguuni namwambia mama natoka kidogo. Nikirudi nambebea na vikopo vya castle lager au safari na nyama choma, maisha yanakuwa simple tu.
 
wanawake mna iq ndogo sana ndio maana waganga na wachungaj feki wanapata sana wateja jinsia ke..

hujiulizi why hizi drama zije huku nyimbo ipo youtube day 1? wewe unaweza gombana na mumeo halafu ukamsaidie kushoot video yake??? wanawake mngekuwa na akili za kufikiri zaidi... tungeendelea sana sabab nyingi ndio mama zetu ila hamfikiriii... na hamjui unganisha dots

hii ni biashara. hamisa anaplay role yake kama anachoelezwa cha kufanya.. esma pia.. mama diamond pia.. zari pia... na kila mtu...

hela inatafutwa kwa akili...

hakuna mtu mpuuzi hapo.. sio diamond, sio wema, sio hamisa, sio zari, sio esma.. wote wanajua wanachofanya na kuna mwanaume mastermind juu yao... anaetengeneza scripts...

Hamisa yule kichwani hamnazo.. Hayo majibu yake ya leo wala hayakuwa na umuhimu wowote. Huwezi kumtukana mama mkwe (hata kama yeye kaanza kukutukana) halafu ukategemea ndoa iwepo au mahusiano yawe mazuri. Hajafunzwa kunyamaza yule binti.
Mi mama mkwe wangu alikuwa analianzisha makusudi ili umjibu aseme una mdomo/ dharau. Nilivyomuelewa tu, nikajua jinsi ya ku deal naye. Akilianzisha tu, mimi huyo nabeba kipochi, hi heels miguuni namwambia mama natoka kidogo. Nikirudi nambebea na vikopo vya castle lager au safari na nyama choma, maisha yanakuwa simple tu.
 
Hamisa yule kichwani hamnazo.. Hayo majibu yake ya leo wala hayakuwa na umuhimu wowote. Huwezi kumtukana mama mkwe (hata kama yeye kaanza kukutukana) halafu ukategemea ndoa iwepo au mahusiano yawe mazuri. Hajafunzwa kunyamaza yule binti.
Mi mama mkwe wangu alikuwa analianzisha makusudi ili umjibu aseme una mdomo/ dharau. Nilivyomuelewa tu, nikajua jinsi ya ku deal naye. Akilianzisha tu, mimi huyo nabeba kipochi, hi heels miguuni namwambia mama natoka kidogo. Nikirudi nambebea na vikopo vya castle lager au safari na nyama choma, maisha yanakuwa simple tu.
Kabisaaaa sema Kanataka kujitia kamemkamata mondi mwache ale jeuri yake
 
wanawake mna iq ndogo sana ndio maana waganga na wachungaj feki wanapata sana wateja jinsia ke..

hujiulizi why hizi drama zije huku nyimbo ipo youtube day 1? wewe unaweza gombana na mumeo halafu ukamsaidie kushoot video yake??? wanawake mngekuwa na akili za kufikiri zaidi... tungeendelea sana sabab nyingi ndio mama zetu ila hamfikiriii... na hamjui unganisha dots

hii ni biashara. hamisa anaplay role yake kama anachoelezwa cha kufanya.. esma pia.. mama diamond pia.. zari pia... na kila mtu...

hela inatafutwa kwa akili...

hakuna mtu mpuuzi hapo.. sio diamond, sio wema, sio hamisa, sio zari, sio esma.. wote wanajua wanachofanya na kuna mwanaume mastermind juu yao... anaetengeneza scripts...

Sasa IQ yako kubwa inakusiadia nini iwapo hufahamu hata umuhimu wa matumizi ya herufi kubwa na ndogo kwenye sentensi.
 
Ni rahisi mtu kuondoka tandale, lakini siyo rahisi tandale kumuacha mtu
 
Sasa IQ yako kubwa inakusiadia nini iwapo hufahamu hata umuhimu wa matumizi ya herufi kubwa na ndogo kwenye sentensi.

sikujibu chochote zaid ya hichi nachokuambia.. sipendagi ligi na mama zangu sabab najitambua
 
Hii familia hata bure hapana [emoji847][emoji847]
 
Hakuna wife material hata mmoja hapo.

Ningekuwa mimi ndio domondi ningepiga chini wote na kwenda kuoa msichana ambaye kila mtu asingeamini.

Halafu it's time now domondi akuwe na abadiliki. Haingii akilini hata kidogo mtoto wa kiume ukawaruhusu mama na dada zako wakaingilia mambo yako ya chumbani, unless your mama's boy .
Mondi mwenyewe shwaini dizaini mswahili.
 
Back
Top Bottom