wanawake mna iq ndogo sana ndio maana waganga na wachungaj feki wanapata sana wateja jinsia ke..
hujiulizi why hizi drama zije huku nyimbo ipo youtube day 1? wewe unaweza gombana na mumeo halafu ukamsaidie kushoot video yake??? wanawake mngekuwa na akili za kufikiri zaidi... tungeendelea sana sabab nyingi ndio mama zetu ila hamfikiriii... na hamjui unganisha dots
hii ni biashara. hamisa anaplay role yake kama anachoelezwa cha kufanya.. esma pia.. mama diamond pia.. zari pia... na kila mtu...
hela inatafutwa kwa akili...
hakuna mtu mpuuzi hapo.. sio diamond, sio wema, sio hamisa, sio zari, sio esma.. wote wanajua wanachofanya na kuna mwanaume mastermind juu yao... anaetengeneza scripts...