wanamsema dada wa watu sio msafi hajui kupika usikute na waowao hakuna hata kimoja walichomzidi ni vile tu waume zao hawana muda wa kutoa yanayoendelea chumbani[emoji120]
Ishu ni wivu wa watanzania tu nothing morewanamsema dada wa watu sio msafi hajui kupika usikute na waowao hakuna hata kimoja walichomzidi ni vile tu waume zao hawana muda wa kutoa yanayoendelea chumbani
Si a aka a tu kuwa amekua hacked!?ila hamisa kaua mabaya maana matusi aliyomtukana wifi na mkwewe sio ya nchi hii na ndoa hakuna hapo
eti alitaka awafulie chupi zao hahahahahah
natamani petit na shamte wazungumze side b za wanawake zao mbona huku mtandaoni hakutalalikaIshu ni wivu wa watanzania tu nothing more
Wengi wetu tunamchukia hamisa kisa kazaa na diamond amini maneno yangu
Angezaa na mtaifa mwingine tungeshangilia balaa
Kiba kaoa Kenya watu kimyaa,Ay Uganda kimyaaa wangeoa wabongo hawaa wangejuta
Hata Zari sio kua wanampendaaa...hapana watz tuna husda mnoo!!
dyu aisee yajayo wanafurahishaNgoja tupunguze stress za vyuma kidogo maana hali tete kila siku wikiendi hii mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Jana ilianza hivi mambo ya Iyena hayoo...
Leo diamond kaamua kujibu
Haitoshi hamisa Leo bubu kaamua kaamua kusema
Daah!hongera diamond and your family mnajua kucheza na akili zetu watanzania
Na hizi stress za Magu na hali ngumu acha umbea ututawale ili tujifariji kimaisha!View attachment 792040View attachment 792041View attachment 792042View attachment 792043View attachment 792044View attachment 792045View attachment 792046View attachment 792047View attachment 792048
yanachunguza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na ya sasa pia
Tatizo walimtia kiburi hao kina ESMA Leo wanamkengeuka mchana kweupee!Hamisa angetulia kuwa sidechick yote yasingemkuta. Angejilia kimya tu Domo wake Sema anapenda kiki wacha yamkutee.