Yanayojiri Instagram baada ya kutoka iyena [emoji39]

Yanayojiri Instagram baada ya kutoka iyena [emoji39]

Tangu wazaramo wameanza kuijua internet basi tabu tupu.
 
wanamsema dada wa watu sio msafi hajui kupika usikute na waowao hakuna hata kimoja walichomzidi ni vile tu waume zao hawana muda wa kutoa yanayoendelea chumbani
Ishu ni wivu wa watanzania tu nothing more

Wengi wetu tunamchukia hamisa kisa kazaa na diamond amini maneno yangu

Angezaa na mtaifa mwingine tungeshangilia balaa

Kiba kaoa Kenya watu kimyaa,Ay Uganda kimyaaa wangeoa wabongo hawaa wangejuta

Hata Zari sio kua wanampendaaa...hapana watz tuna husda mnoo!!
 
Ishu ni wivu wa watanzania tu nothing more

Wengi wetu tunamchukia hamisa kisa kazaa na diamond amini maneno yangu

Angezaa na mtaifa mwingine tungeshangilia balaa

Kiba kaoa Kenya watu kimyaa,Ay Uganda kimyaaa wangeoa wabongo hawaa wangejuta

Hata Zari sio kua wanampendaaa...hapana watz tuna husda mnoo!!
natamani petit na shamte wazungumze side b za wanawake zao mbona huku mtandaoni hakutalalika
 
Romy nae kaamua kusema neno

Screenshot_20180602-131908.jpg
Screenshot_20180602-131914.jpg
 
Mimi na hata Diamond hawezi oa mwanamke ambaye anajua nani kapita na bado yupo hai.
 
natamani petit na shamte wazungumze side b za wanawake zao mbona huku mtandaoni hakutalalika
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hawana meno wale wanalelewa tu!

Wale wanaume suruali wako kimaslahi
 
Ngoja tupunguze stress za vyuma kidogo maana hali tete kila siku wikiendi hii mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]

Jana ilianza hivi mambo ya Iyena hayoo...

Leo diamond kaamua kujibu

Haitoshi hamisa Leo bubu kaamua kaamua kusema

Daah!hongera diamond and your family mnajua kucheza na akili zetu watanzania

Na hizi stress za Magu na hali ngumu acha umbea ututawale ili tujifariji kimaisha!View attachment 792040View attachment 792041View attachment 792042View attachment 792043View attachment 792044View attachment 792045View attachment 792046View attachment 792047View attachment 792048
dyu aisee yajayo wanafurahisha
 
Ndoa nyingi huharibiwa na wazazi, mawifi

Mwanamke anaweza kosea ila hao wahusika hapo watalibeba hilo kosa milele.
 
Hakuna wife material hata mmoja hapo.

Ningekuwa mimi ndio domondi ningepiga chini wote na kwenda kuoa msichana ambaye kila mtu asingeamini.

Halafu it's time now domondi akuwe na abadiliki. Haingii akilini hata kidogo mtoto wa kiume ukawaruhusu mama na dada zako wakaingilia mambo yako ya chumbani, unless your mama's boy .
 
Ndoa nyingi huharibiwa na wazazi, mawifi

Mwanamke anaweza kosea ila hao wahusika hapo watalibeba hilo kosa milele.
Sanaa!yaani familia hizi na ukiwa na wifi na mkwe mswahili [emoji2] [emoji2] utaomba poo
 
Hamisa angetulia kuwa sidechick yote yasingemkuta. Angejilia kimya tu Domo wake Sema anapenda kiki wacha yamkutee.
Tatizo walimtia kiburi hao kina ESMA Leo wanamkengeuka mchana kweupee!

Yaani ile familia hakuna mwanamke wa kuiweza
 
Back
Top Bottom