Tatizo walimtia kiburi hao kina ESMA Leo wanamkengeuka mchana kweupee!Hamisa angetulia kuwa sidechick yote yasingemkuta. Angejilia kimya tu Domo wake Sema anapenda kiki wacha yamkutee.
the bold nae yupo insta[emoji3][emoji3][emoji3]
Huoni habibu anga hapo[emoji23] [emoji23] [emoji23] sijaona
Kama ww umesema hii kauli bass naweza nikaaminIle familia kichefuchefu
Yani wametoka Tandale ila hawabadilikiMnoo!
Elimu,elimu,elimu!
Na ndio maana Zari hakuwa hana time nao na ndiyee pekee kawaweza.Tatizo walimtia kiburi hao kina ESMA Leo wanamkengeuka mchana kweupee!
Yaani ile familia hakuna mwanamke wa kuiweza
Jilan hawa watu wanadhalilisha sana mwanamkeKama ww umesema hii kauli bass naweza nikaamin
Naunga mkono hoja kwa kuwa jilan yangu mzingua 90 ametema nyongo
Nawaelewa ila wao wameshatoka kwenye hilo kundi kwanini bado wanashikilia uswahiliMkwe elimu elimu elimu
Wamelack exposure...au umesahau [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] !!!
Najua wajua wa aina hiyo anakuwaje
Jilan yangu mbona unaongea kwa hisia kali sana.....!!!!! mondi angekuwa karibu yako kofi la maana linge usika shavun kwake naonaJilan hawa watu wanadhalilisha sana mwanamke