Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raha ya stayhome uwe umeoa juzi juzi au mke awe ameenda kusalimia kwao Katavi halafu daraja limechukuliwa na maji ilhali wewe uko zako Tabata Mawenzi kwa mchepuko wa kinyamwezi.Hii ndiyo ile tafsiri hali ya “Stay Home’’ kupunguza maambukizi ya virusi vya Corona
Sent from my iPhone using JamiiForums
Siku nikirudi mkoa huo ntaja patembelea maana ni miaka 25 sasa,Tabata
Ila usije ukaenda seheme inaitwa "Great park " sheitwaan ameweka makazi ya kudumu hapo.Siku nikirudi mkoa huo ntaja patembelea maana ni miaka 25 sasa,
Siyo yupo sahihi?/maana vi mvua kidogo tu vikinyesha jiji zima mwakosa amani na raha. Mnaanz lia liaAliyekwambia hakika ni muhujumu uchumi😀😀
Kwanini mkuu?Ila usije ukaenda seheme inaitwa "Great park " sheitwaan ameweka makazi ya kudumu hapo.
Kwa niaba ya mabaharia wa hapa katavi tunatanguliza shukraniRaha ya stayhome uwe umeoa juzi juzi au mke awe ameenda kusalimia kwao Katavi halafu daraja limechukuliwa na maji ilhali wewe uko zako Tabata Mawenzi kwa mchepuko wa kinyamwezi.
Watu wa mbagala wanacheka tu. Pamoja na slums zao bado mafuriko hayajawatandika. Ila pale mkwajuni ni nani anayeweka kifusi maana anayabana maji kujitanua. Poleni sana watu wa Dar es salaamWatu wa mabondeni huko Mburahati, Kigogo, Mwananyamala, Buguruni na Sinza tupeni mrejesho wa mvua ya leo.
Sinza bar zimefunguliwa?
Huu mji ni hovyo kwelikweliDar slums kama kawaida haijawahi kuniangusha linapokuja suala zima la miundombinu mibovu.
Kuna kinyerezi, makongo, wazo, Goba, Gongo la Mboto Masaki, Oyster bay, Mbagala, buza, kimara, kigamboni, Upanga, kibamba kote kupo safiSiyo yupo sahihi?/maana vi mvua kidogo tu vikinyesha jiji zima mwakosa amani na raha. Mnaanz lia lia
Ndiyo maana magufuli katukimbia DARpoleni wana dar slums
Tanzania ya viwanda na uchumi wa kati,vipi lile daraja la makonda la mita 300 kwenda juu halijaisha?Kama kawaida jangwani maji yanapita juu ya daraja na barabara imejifunga.
Bonde la Kinondoni mkwajuni napo maji yanapita juu ya daraja, barabara imejifunga.
Bado sina picha kwa sasa.
Tuambie kinachoendelea kwenye upeo wa macho yako.
Mkuu hapo Buguruni kuna eneo gani la kula bata,Naelekea Buguruni kula bata, watu wa Kigogo barabara yenu yapitika?
Hapo ndipo unauona ubora wa CCM,pesa za kujenga miundombinu Safi na salama hawana,pesa ya kuhudumia raia wake hawana,wanapesa tu za kuwatoa akina msigwa gerezani na za kufisafidi.poor ccmDar slums kama kawaida haijawahi kuniangusha linapokuja suala zima la miundombinu mibovu.
Bata za wanyonge wa ccm zinaliwa maeneo ya buguruni rozanaMkuu hapo Buguruni kuna eneo gani la kula bata,
Wanyonge wa ufipa bata lao ni wapi mtaalam??Bata za wanyonge wa ccm zinaliwa maeneo ya buguruni rozana
Kama Makonda bado ni mkuu wa mkoa wa Dar atamuomba kesho pesa rais ili barabara ya morogoro hapo jangwani na barabara kawawa pale mkwajuni iinulie maana hao wabunge wa Chadema wa ilala na Kinondoni wao wamekalia vurugu tu.kama alipewa pesa ya hospitali ya ubungo mbona hapo ni chamtoto kwa makondaMungu ameona hiyo ndiyo dawa ya kuwakingeni na Corona maana hamsikii!