Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Huko unakofikiriaWanyonge wa ufipa bata lao ni wapi mtaalam??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko unakofikiriaWanyonge wa ufipa bata lao ni wapi mtaalam??
Ila tuna mkuu wa mkoa bora na ambaye pia ni naibuDar mnamatatizo ya kila rangi
Sawa mkuu uwe na pasaka njema.Huko unakofikiria
Asante mkuu, karibu Mbezi msumi tupo kwenye lockdownSawa mkuu uwe na pasaka njema.
Yupo Lass VegasNasikiaga dar es saalam nzima ni mabondeni. We mkuu upo dar es saalam ipi
Shukran kamanda hizi mvua zimewaweka ndani wengi.Asante mkuu,karibu Mbezi msumi tupo kwenye lockdown
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Raha ya stayhome uwe umeoa juzi juzi au mke awe ameenda kusalimia kwao Katavi halafu daraja limechukuliwa na maji ilhali wewe uko zako Tabata Mawenzi kwa mchepuko wa kinyamwezi.
Ngoja tumuulize Manula atuabie ubora wa huyo jamaaIla tuna mkuu wa mkoa bora na ambaye pia ni naibu
Hahah pale nilikuta mashoga hiyo siku na yanataka uyanunulie bia.Ila usije ukaenda seheme inaitwa "Great park " sheitwaan ameweka makazi ya kudumu hapo.
Hahahaha karibu mkuuu.Siku nikirudi mkoa huo ntaja patembelea maana ni miaka 25 sasa,
Haya mabasi nayachukia mno yalivyokuwa yakijaza watu kabla ya hii coronaMvua ni kitanzi cha Mabasi ya mwendokasi. Yanajinyonga.
Kuna mrembo mmoja hapo mfupi maji ya kunde ana nyama saana kiuoni. Mwambie sumbai namsalimia.
Kweli ausee kinara hali shwali kbsa npo zangu perfect pub hpa nakamua biere kwa kwenda mbele wake sinza kwa wajanja hali zao ni tete kweli kweli size wamepanga matofali wanaruka viunzi tuKuna kinyerezi, makongo,wazo,Goba,Gongo la Mboto Masaki, Oyster bay, Mbagala, buza,kimara,kigamboni,Upanga, kibamba kote kupo safi ila maeneo ya. Mbezi beach,Mbweni, sinza, buguruni, kinondoni, mwananyamala, Msasani, Ulongoni, kigogo na mburahati huko hati ni tete
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda beni pub kona ya tawi la yanga hpo angalau pko vizuri kwingine ni ushubwadaMkuu hapo Buguruni kuna eneo gani la kula bata,
Asante mkuu, nikipata muda nitapitia hapo nijionee mwenyewe.Labda beni pub kona ya tawi la yanga hpo angalau pko vizuri kwingine ni ushubwada
Vile vitu ambavyo wanawake wanavifanya kwa siri sana, hapo vinafanywa nje njeKwanini mkuu?
Hapo HQ kwenu kuna usalama? Kwa nyuma kuna bonde, au ndio unaposema?Kama kawaida jangwani maji yanapita juu ya daraja na barabara imejifunga.
Bonde la Kinondoni mkwajuni napo maji yanapita juu ya daraja, barabara imejifunga.
Bado sina picha kwa sasa.
Tuambie kinachoendelea kwenye upeo wa macho yako.