Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna offside hapoAngalia picha hpo juu!
Sijaelewa ni offside kwa namna ipi
😃😃😃Nasikia kelele nyingi kumbe O-O
Angalia picha hpo juu!
Hakuna offside hapo humuoni mchezaji wa liver hapo nyuma ya Benzema
Eleza ni offside kwa namna ipi maana picha zako zinaonyesha kuna mchezaji wa liver hapo nyuma ya Benzema.Hujui mpira ndio maana hujaelewa…!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo nipo neutral, wala sina team ya kushabikia, ila na wish kombe liende England. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Ahahahah sas upo timu gani njoo Liverpool tufurahi
Hujui mpira bado bro.... Shida mnaangalia match moja moja kama hizi....Eleza ni offside kwa namna ipi maana picha zako zinaonyesha kuna mchezaji wa liver hapo nyuma ya Benzema.
Ni offside kulingana na movement ya mpira benzema aliotea na huyo mchezaji wa nyuma kabisa alikuwa ndani ya goli na fabinho ule mpira umemgonga hivo inakuwa deflection!Eleza ni offside kwa namna ipi maana picha zako zinaonyesha kuna mchezaji wa liver hapo nyuma ya Benzema.
Mbna hapa sijaelewa mie. Hebu mnieleweshe.
Kama ni hivyo ni sawa.Mtu wa mwisho ambae ni beki hapo anahesabika kama kipa so benzema anakuwa kazidi
Sijui umenielewa
Hiyo ni clear offside
Kaangalie match ya mwisho Chelsea aliyocheza na Totte kuna offside inafanana na hiyo ya Benzema.Kama ni hivyo ni sawa.
Acha ufala wewe, watu wenye mpira wao washasema ni offside na goli limekataliwa, wewe Ngarunyembe wa mkumbwanana unajua niniSio offside kabisa
Ila ilibidi iwe penalt, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Benzema aliotea yaani clear offside!