ila mpira karudisha FabinhoClear offside
Kwa mchongoLIVERPOOL FOREVER Hili game tunashinda!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuambiaje? Kashanifurahisha.Embu rudi kule kwenye udaku kwanza!
HahahahaAcha ufala wewe, watu wenye mpira wao washasema ni offside na goli limekataliwa, wewe Ngarunyembe wa mkumbwanana unajua nini
Dah!..noma sanaView attachment 2242840
Liverpool wanatia huruma!