Kaangalie match ya mwisho Chelsea aliyocheza na Totte kuna offside inafanana na hiyo ya Benzema.
Mbona matusi mkuu kwani me nimetukana?Acha ufala wewe, watu wenye mpira wao washasema ni offside na goli limekataliwa, wewe Ngarunyembe wa mkumbwanana unajua nini
Jamaa walikuwa na mzuka wa ajabu, hapo Courtois alifanya save moja matata sana.,
Ile ilikuwa deflection kwa fabinho hivo it's clear offside